64
Safari ya Rais Raisi barani Afrika ilijikita katika masuala ya sayansi na teknolojia
Katika makala hii ambayo huangazia baadhi ya mafanikio katika uga wa sayansi, tiba na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani, tutaangazia safari ya hivi karibuni ya Rais Ebrahim Raisi barani Afrika ambapo suala la uhusiano wa sayansi na teknolojia baina ya Iran na Afrika lilipewa kipaumbele.