Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Vipindi
  • Hifadhi
  • Darsa ya Qur'ani
  • Frikwensi
  • Tovuti Kongwe
  • Hifadhi
  • iPhone
  • Pakua
  • Frikwensi

Muharram

Oct 03, 2016 10:27 UTC
Jiunge
Vipindi Vingine
  • Maswali yetu na majibu ya Thaqalayn
    Maswali yetu na majibu ya Thaqalayn
  • Dini
    Dini
  • Tuujue Uislamu
    Tuujue Uislamu
  • Uislamu Chaguo Langu
    Uislamu Chaguo Langu
  • Hadithi ya Uongofu
    Hadithi ya Uongofu
  • Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
    Sibtain katika Qur'ani na Hadithi
  • Usekula na Uislamu
    Usekula na Uislamu

  • 20
    Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS
    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Muharram. Makala yetu imebeba kichwa cha maneno kisemacho, Mguso wa Nyoyo katika Maombolezo ya Imam Husain AS. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.
  • 20
    Taamuli katika Ziara ya Arubaini ya Imam Hussein AS (6)
    Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki maalumu cha Majlisi za siku ya Arubaini ambacho hufanyika kila mwaka baada ya kupita siku Arubaini tangu tarehe 10 mwezi wa Muharram kwa ajili ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS na masahaba zake ambao walitoa mhanga roho zao kwa ajili ya kuhuisha dini ya Mwenyezi Mungu katika jangwa la Karbala.
  • 19
    Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)
    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein (AS) ambapo leo tutazungumzia kauli na maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu tukio hilo adhimu. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni.
  • 18
    Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)
    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS. Ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinakujieni katika kipindi cha siku hizi kadhaa za kuelekea kwenye kilele cha kumbukumbu hizo zinazofanyika Karbala nchini Iraq ambapo kwa mwaka huu itakuwa ni Jumatatu ya tarehe 21 Novemba kulingana na mwandamo wa mwezi nchini Iraq. Karibuni.
  • 17
    Waislamu wapya na wasiokuwa Waislamu katika matembezi ya Arubaini (3)
    Matembezi ya Siku ya Arbaini ambayo hufanyika kwa nia ya kumzuru Imam Hussein (as) na ambayo hutimia katika siku ya arubaini tokea auawe shahidi mtukufu huyo, ndiyo matembezi makubwa zaidi ya binadamu duniani, jambo ambalo wanalikiri marafiki na maadui wote ulimwenguni.
  • 16
    Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)
    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa makala hizi zinazokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib as.
  • 15
    Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)
    Kwa kawaida safari ya kutembea kwa miguu kutoka mji wa Najaf al Ashraf kuelea Karbala inayofanywa kila mwaka na maashiki na wapenzi wa mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein (as) huambatana na vuguvugu na msisimko wa aina yake. Mwanzoni mwa safari hiyo mazuwari huanza safari hiyo ya mahaba na upendo katika mji wa Najaf wakiwa na shanta dogo, viatu vyepesi na masurufu kiduchu ya kutumia njiani.
  • 14
    Mafundisho ya Imam Hussein AS (6)
    Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji kuwa nasi tena katika mfululizo mwengine wa kipindi hiki maalumu cha Mafundisho ya Imam Hussein (as) kinachozungumzia falsafa na malengo ya harakati na mapambano ya mtukufu huyo katika Siku ya Ashura katika ardhi ya Karbala. Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni katika mfululizo huu.
  • 13
    Mafundisho ya Imam Hussein AS (5)
    Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh.
  • 12
    Mafundisho ya Imam Hussein AS (4)
    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo inakujieni katika siku hizi za msiba mkubwa, siku za kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS na wafuasi wake 72 Siku ya Ashura katika jangwa la Karbala.
Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS