9
Mafundisho ya Imam Hussein AS (1)
Daima kumekuwepo na swali hili kwamba je, ni nini hasa lengo la mapambano ya Imam Hussein (as)? Je, lengo lake lilikuwa ni kuchukua utawala au lilikuwa ni kuleta mabadiliko na marekebisho kwenye jamii ya Kiislamu? Je, Imam (as) hangeweza kutumia njia nyingine ya amani ili kufikia lengo hilo bila kufanya mapambano ambayo yalisababisha uporaji, kutekwa nyara na umwagaji damu ya Watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (saW)?