• Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Feb 07, 2023 05:32

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo kwa leo tutazungumzia nafasi ya Qur'ani, Umaanawi, Uongozi wa Imam Khomeini na Umoja wa matabaka mbalimbali ya jamii ya Iran katika kufanikisha mapinduzi hayo. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu  ya Iran yadumu

    Sababu zilizoyafanya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yadumu

    Feb 07, 2021 10:28

    Kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo kilele chake ni tarehe 22 Bahman (10 Februari), tumekuandalia makala hii maalumu itakayozungumzia sababu zilizoyafanya mapinduzi hayo yadumu licha ya kupita miongo minne tangu kutokea kwake.