-
Jumanne tarehe 22 Juni 2021
Jun 22, 2021 02:32Leo ni Jumanne tarehe 11 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na tarehe 22 Juni mwaka 2021.
-
Alkhamisi tarehe 16 Julai mwaka 2020
Jul 16, 2020 17:54Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Mfunguo Pili Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Julai 16 mwaka 2020.
-
Siri ya kukubali Imam Ridha AS kuwa mrithi wa mtawala wa zama zake + Sauti
Nov 06, 2018 09:24Siku ya mwisho ya Mfunguo Tano Safar ndiyo siku aliyouawa shahidi Imam Ridha AS mmoja wa Maimamu watoharifu wa Waislamu wa Kishia.
-
Imam Ridha AS na risala yake iliyojaa siri za afya
Nov 18, 2017 16:48Leo mji mtakatifu wa Mashhad umetanda huzuni na majonzi katika haram ya Ali bin Musa Ridha AS. Idadi kubwa ya waombolezaji wamefika katika haram hiyo kwa ajili ya kuombleza. Leo ni siku ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Ali bin Musa Ridha AS ambaye ni kutoka katika kizazi kilichotakasika cha Mtume Muhammad SAW.
-
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa ar Ridha (AS)
Nov 18, 2017 16:41Assalaam Alaykum. Tuko katika siku ya mwisho ya mwezi wa Safar, siku ambayo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa Ridha (as) mmoja kati ya watu wa Nyumba tukufu ya Mtume Mtukufu Muhammad (saw).