-
Jumatano, 25 Septemba, 2024
Sep 25, 2024 02:16Leo ni Jumatano tarehe 21 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria, mwafaka na tarehe 25 Septemba 2024.
-
Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu
Dec 01, 2018 10:28Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.