• Mauaji katika safu ya chakula

    Mauaji katika safu ya chakula

    Mar 06, 2024 10:12

    Karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinatupia jicho mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza waliokuwa katika safu za kupokea misaada ya kibinadamu huko Rafah.