-
Mauaji katika safu ya chakula
Mar 06, 2024 10:12Karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinatupia jicho mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza waliokuwa katika safu za kupokea misaada ya kibinadamu huko Rafah.