• Akhlaqi Katika Uislamu (39)

    Akhlaqi Katika Uislamu (39)

    Nov 10, 2022 16:59

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 39 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitazungumzia Akhlaqi za Kiuchumi katika Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Taathira za kisiasa, kijamii na kiuchumi za virusi vya COVID-19 (Corona)

    Taathira za kisiasa, kijamii na kiuchumi za virusi vya COVID-19 (Corona)

    Mar 28, 2020 08:36

    Katika kipindi cha sasa kadhia ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 au Corona ndiyo gumzo na kadhia muhimu zaidi inayojadiliwa katika duru zote za kisiasa na vyombo vya mawasiliano ya kijamii na hata baina ya watu wa familia.