• Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Oct 31, 2017 10:40

    Zimebakia siku chache tu hadi siku ya Arubaini ya Imam Hussein (as) na barabara zote za kuelekea katika mji wa Karbala nchini Iraq zimefurika watu kama mto wa maji unaoelekea katika mji mtakatifu wa Karbala.