Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Kutuhumiwa India kuwa inaunga mkono makundi ya magaidi yaliyoko Afghanistan

    Jul 21, 2022 04:29

    Balozi wa Pakistan mjini Kabul amesema, India inayaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Afghanistan ili kuvuruga amani na usalama ndani ya Pakistan.

  • Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa  watu wa Afghanistan

    Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa watu wa Afghanistan

    Jul 16, 2022 02:42

    Gavana wa jimbo la Herat ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa watu wa Afghanistan.

  • Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Uchunguzi: Jeshi la UK liliua makumi ya wafungwa wa Kiafghani

    Jul 13, 2022 03:42

    Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la BBC la Uingereza umefichua kuwa, askari wa nchi hiyo ya Ulaya waliwaua kwa kuwafyatulia risasi raia zaidi ya 50 wa Afghanistan, licha ya kuwa hawakuwa wamejizatiti kwa silaha.

  • UN yakaa kimya kuhusu chanzo cha maafa ya kibinadamu Afghanistan

    UN yakaa kimya kuhusu chanzo cha maafa ya kibinadamu Afghanistan

    Jul 12, 2022 11:05

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti ukitahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Afghanistan na bila ya kuashiria waliosababisha hali hiyo ya sasa inayowakabili watu wa nchi hiyo iliyoathiriwa na vita umetangaza kuwa, wananchi wa Afghanistan eti wanahitaji misaada ya kibinadamu zaidi.

  • Wanawake wa Afghanistan wakosoa kutoalikwa katika kikao cha Loya Jirga

    Wanawake wa Afghanistan wakosoa kutoalikwa katika kikao cha Loya Jirga

    Jul 03, 2022 02:13

    Wanawake wa Afghanistan wamekosoa kufanyika kikao cha maulamaa wa kidini wa Baraza la Ushauri kwa ajili ya amani ya Afghanistan (Loya Jiirga) bila ya wanawake wa nchi hiyo kuhudhuria. Kutoshirki wanawake katika kikao hicho kunamaanisha kupuuzwa nusu ya jamii ya watu wa Afghanistan.

  • Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Taliban yaitaka Marekani iachie fedha za Afghanistan baada ya tetemeko la ardhi lililoua 950

    Jun 24, 2022 01:17

    Kufuatia tetemeko la ardhi lililoua mamia ya watu nchini Afghanistan, serikali ya Taliban nchini humo imeitaka Marekani iachie mabilioni ya dola za Waafghani inazozuilia.

  • Guterres aitaka jamii ya kimataifa kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi Afghanistan

    Guterres aitaka jamii ya kimataifa kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi Afghanistan

    Jun 23, 2022 03:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko yake na kutoa mkono wa pole kwa wananchi wa Afghanistan kufuatia tetemeko la ardhi lililoikumba nchi hiyo jana Jumatano. Vilevile ameitolea wito jamii ya kimataifa kuzisaidia familia zilizokumbwa na janga hilo la kimaumbile.

  • Tetemeko la ardhi Afghanistan laua karibu watu elfu moja, uokoaji unaendelea

    Tetemeko la ardhi Afghanistan laua karibu watu elfu moja, uokoaji unaendelea

    Jun 22, 2022 12:07

    Ripoti za mashirika ya habafri zinasema kuwa karibu watu 1,000 wameaga dunia na mamia kujeruhiwa katika tetemeko la ardhi lililoikumba mikoa miwili kusini mashariki mwa Afghanistan leo, Jumatano.

  • 255 wauawa na mamia wajeruhiwa katika tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Afghanistan

    255 wauawa na mamia wajeruhiwa katika tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Afghanistan

    Jun 22, 2022 07:59

    Watu wasiopungua 255 wameuawa na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kuyakumba maeneo ya mbali kusini mashariki ya Afghanistan na nchi jirani ya Pakistan alfajiri ya kuamkia leo.

  • Iran inabeba mzigo mkubwa zaidi wa wakimbizi katika eneo

    Iran inabeba mzigo mkubwa zaidi wa wakimbizi katika eneo

    Jun 20, 2022 07:38

    Mwakilishi maalumu wa Jamhuri ya Kiislamu y Iran katika masuala ya Afghanistan amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kutokana na vigezo vyake vya Kiislamu na kibinaadamu imekubali kubeba mzigo mkubwa zaidi wa wakimbizi katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS