Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Benki ya Dunia: Misaada ya UN imeshindwa kupambana na umaskini Afghanistan

    Benki ya Dunia: Misaada ya UN imeshindwa kupambana na umaskini Afghanistan

    Jun 09, 2022 07:04

    Benki ya Dunia imetangaza kuwa, hali ya kibinadamu nchini Afghanistan ni mbaya sana na kwamba misaada ya Umoja wa Mataifa imeshindwa kuzuia ukata na umaskini wa kupindukia nchini humo.

  • Makubaliano ya serikali ya Islamabad na Taliban ya Pakistan ya kusimamisha vita kikamilifu

    Makubaliano ya serikali ya Islamabad na Taliban ya Pakistan ya kusimamisha vita kikamilifu

    Jun 02, 2022 02:24

    Taarifa kutoka Afghanistan zinasema kuwa, kumepigwa hatua nzuri katika mazungumzo baina ya serikali ya Islamabad na kundi la Taliban la Pakistan linalojulikana kwa jina la Tehrik-i-Taliban Pakistan (TTP) kwa upatanishi wa kundi la Taliban la Afghanistan. Taarifa hizo zinasema kuwa pande mbili zimefikia makubaliano ya kusimamisha vita kikamilifu baina yao katika mazungumzo yanayoendelea mjini Kabul.

  • Jumanne, 31 Mei, 2022

    Jumanne, 31 Mei, 2022

    May 31, 2022 02:30

    Leo ni Jumanne tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 31 Mei 2022.

  • Taliban: Skuli za wasichana zimefunguliwa katika mikoa 10 ya Afghanistan

    Taliban: Skuli za wasichana zimefunguliwa katika mikoa 10 ya Afghanistan

    May 29, 2022 12:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban Afghanistan amesema, skuli za wasichana katika ngazi zote zimefunguliwa katika mikoa kumi ya nchi hiyo.

  • Taliban: Mashinikizo dhidi ya Afghanistan hayana tija yoyote

    Taliban: Mashinikizo dhidi ya Afghanistan hayana tija yoyote

    May 28, 2022 08:13

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Taliban iliyoko mjini Doha, Qatar amekaribisha vikao vilivyoitishwa kuzungumzia hali ya Afghanistan na kusisitiza kuwa siasa za mashinikizo dhidi ya nchi hiyo haziwezi katu kuwa na tija na kwamba dunia inapaswa kujenga maelewano na Afghanistan.

  • Kulaaniwa mauaji ya Waislamu wa Kishia Afghanistan

    Kulaaniwa mauaji ya Waislamu wa Kishia Afghanistan

    May 28, 2022 03:24

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu nchini Afghanistan amelaani mauaji ya Waislamu wa Kishia wa jamii ya Hazara nchini humo; na mbali na kubainisha kwamba mauaji hayo yanayoilenga jamii hiyo yameratibiwa kwa mpangilio maalumu ametahadharisha pia juu ya matokeo mabaya ya hujuma hizo.

  • Taliban: Watangazaji wanawake wanapotangaza katika televisheni wafunike nyuso zao

    Taliban: Watangazaji wanawake wanapotangaza katika televisheni wafunike nyuso zao

    May 20, 2022 07:43

    Serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan imetoa amri kwa watangazaji wanawake wanaofanya kazi katika chaneli za televisheni za nchi hiyo wafunike sura zao wakati wanapotangaza.

  • Taliban: Hatuna uadui wowote na Marekani, tunafirikia kuanzisha nayo uhusiano mzuri

    Taliban: Hatuna uadui wowote na Marekani, tunafirikia kuanzisha nayo uhusiano mzuri

    May 17, 2022 11:24

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Taliban Sirajuddin Haqqani amesisitiza kuwa, kwa sasa, serikali ya Afghanistan si tu haiitazami Marekani kama adui, bali inafikria pia kuanzisha uhusiano mzuri na Washington.

  • Kiongozi wa Taliban atoa agizo jipya kuhusu Hijabu kwa wanawake wa Afghanistan

    Kiongozi wa Taliban atoa agizo jipya kuhusu Hijabu kwa wanawake wa Afghanistan

    May 08, 2022 12:16

    Kiongozi Mkuu wa Taliban nchini Afghanistan Haibatullah Akhunzada ametoa agizo lenye vipengee vinne la sheria mpya kuhusu mipaka ya vazi la Hijabu kwa wanawake wa nchi hiyo.

  • Indhari kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Afghanistan

    Indhari kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Afghanistan

    May 07, 2022 01:18

    Ofisi ya Mkaguzi Mkuu Maalumu wa Marekani kwa ajili ya ujenzi mpya wa Afghanistan (SIGAR) imetahadharisha kuhusu taathira za hali mbaya ya kibinadamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS