-
Benki ya Dunia: Misaada ya UN imeshindwa kupambana na umaskini Afghanistan
Jun 09, 2022 07:04Benki ya Dunia imetangaza kuwa, hali ya kibinadamu nchini Afghanistan ni mbaya sana na kwamba misaada ya Umoja wa Mataifa imeshindwa kuzuia ukata na umaskini wa kupindukia nchini humo.
-
Makubaliano ya serikali ya Islamabad na Taliban ya Pakistan ya kusimamisha vita kikamilifu
Jun 02, 2022 02:24Taarifa kutoka Afghanistan zinasema kuwa, kumepigwa hatua nzuri katika mazungumzo baina ya serikali ya Islamabad na kundi la Taliban la Pakistan linalojulikana kwa jina la Tehrik-i-Taliban Pakistan (TTP) kwa upatanishi wa kundi la Taliban la Afghanistan. Taarifa hizo zinasema kuwa pande mbili zimefikia makubaliano ya kusimamisha vita kikamilifu baina yao katika mazungumzo yanayoendelea mjini Kabul.
-
Jumanne, 31 Mei, 2022
May 31, 2022 02:30Leo ni Jumanne tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 31 Mei 2022.
-
Taliban: Skuli za wasichana zimefunguliwa katika mikoa 10 ya Afghanistan
May 29, 2022 12:07Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban Afghanistan amesema, skuli za wasichana katika ngazi zote zimefunguliwa katika mikoa kumi ya nchi hiyo.
-
Taliban: Mashinikizo dhidi ya Afghanistan hayana tija yoyote
May 28, 2022 08:13Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Taliban iliyoko mjini Doha, Qatar amekaribisha vikao vilivyoitishwa kuzungumzia hali ya Afghanistan na kusisitiza kuwa siasa za mashinikizo dhidi ya nchi hiyo haziwezi katu kuwa na tija na kwamba dunia inapaswa kujenga maelewano na Afghanistan.
-
Kulaaniwa mauaji ya Waislamu wa Kishia Afghanistan
May 28, 2022 03:24Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa hali ya haki za binadamu nchini Afghanistan amelaani mauaji ya Waislamu wa Kishia wa jamii ya Hazara nchini humo; na mbali na kubainisha kwamba mauaji hayo yanayoilenga jamii hiyo yameratibiwa kwa mpangilio maalumu ametahadharisha pia juu ya matokeo mabaya ya hujuma hizo.
-
Taliban: Watangazaji wanawake wanapotangaza katika televisheni wafunike nyuso zao
May 20, 2022 07:43Serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan imetoa amri kwa watangazaji wanawake wanaofanya kazi katika chaneli za televisheni za nchi hiyo wafunike sura zao wakati wanapotangaza.
-
Taliban: Hatuna uadui wowote na Marekani, tunafirikia kuanzisha nayo uhusiano mzuri
May 17, 2022 11:24Waziri wa Mambo ya Ndani wa Taliban Sirajuddin Haqqani amesisitiza kuwa, kwa sasa, serikali ya Afghanistan si tu haiitazami Marekani kama adui, bali inafikria pia kuanzisha uhusiano mzuri na Washington.
-
Kiongozi wa Taliban atoa agizo jipya kuhusu Hijabu kwa wanawake wa Afghanistan
May 08, 2022 12:16Kiongozi Mkuu wa Taliban nchini Afghanistan Haibatullah Akhunzada ametoa agizo lenye vipengee vinne la sheria mpya kuhusu mipaka ya vazi la Hijabu kwa wanawake wa nchi hiyo.
-
Indhari kuhusu hali mbaya ya kibinadamu Afghanistan
May 07, 2022 01:18Ofisi ya Mkaguzi Mkuu Maalumu wa Marekani kwa ajili ya ujenzi mpya wa Afghanistan (SIGAR) imetahadharisha kuhusu taathira za hali mbaya ya kibinadamu nchini humo.