-
Iran: Tuko tayari kuipa Afghanistan teknolojia ya kupambana na ukame
May 04, 2022 11:51Mjumbe wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya Afghanistan amesema kuwa, Tehran iko tayari kuipa Kabul teknolojia ya kupambana na ukame na vumbi linalofunika anga za maeneo mmbalimbali ya Afghanistan.
-
Amani iliyotoweka katika baadhi ya nchi za Kiislamu
May 03, 2022 10:41Wakati nchi za Kiislamu zinasherehekea Idul Fitr na Waislamu wakiwa katika sikukuu na mapumziko baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, katika baadhi ya nchi za Kiislamu ikiwa ni pamoja na Afghanistan, amani na usalama inaonekana kuwa kiungo muhimu zaidi kinachokosekana katika maisha ya watu wa nchi hizo.
-
Qalibaf: Kuunda serikali jumuishi ni muhimu ili kuhakikisha usalama wa Afghanistan
May 01, 2022 08:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kuasisi serikali shirikishi ni jambo lenye umuhimu kwa ajili ya kuhakikisha usalama endelevu nchini Afghanistan.
-
Alkhamisi, Aprili 28, 2022
Apr 28, 2022 02:41Leo ni Alkhamisii tarehe 26 Ramadhani 1443 Hijria, sawa na Aprili 28 mwaka 2022 Milaadia.
-
Jumatano tarehe 27 Aprilii 2022
Apr 27, 2022 02:29leo ni Jmatano tarehe 25 Ramadhani 1443 Hijria, sawa na Aprili 27 mwaka 2022.
-
Taliban yatoa wito kwa Waislamu duniani kusimama dhidi ya Israel
Apr 26, 2022 11:08Naibu msemaji wa serikali ya mpito ya Taliban nchini Afghanistan amesema umoja ni msingi wa Uislamu na hivyo kadhia ya Palestina inapaswa kushughulikiwa kwa msingi huo.
-
Kuendelea mashambulizi ya kigaidi Afghanistan na majukumu ya Taliban
Apr 24, 2022 02:29Milipuko ya kigaidi iliyotokea hivi karibuni katika miji minne ya Afganistan baada ya kipindi kifupi cha utulivu wa kiwango fulani, imezusha mjadala mkubwa katika duru za kisasa na kiusalama. Kundi la kigadi la Daesh limetangaza kuhusika na milipuko hiyo ya umwagaji damu iliyouwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.
-
Idadi ya waliouawa katika mripuko uliotokea jana Kunduz Afghanistan yafikia watu 33
Apr 23, 2022 07:26Idadi ya watu waliouawa shahidi katika shambulio la kigaidi lililotokea jana kwenye Msikiti mmoja wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan wamefikia Waislamu 33.
-
Iran yapongeza marufuku ya kilimo na usafirishaji wa mihadarati kutoka Afghanistan
Apr 06, 2022 10:44Msaidizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Rasoul Mousavi, Jumatatu iliyopita aliandika kwenye mtandao wa Twitter kwamba:
-
Iran: Tuko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mihadarati
Apr 06, 2022 02:51Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Afghanistan umesema kuwa, Tehran iko tayari kuisaidia Afghanistan kulima mazao ya chakula badala ya mmea wa mpopi unaozalisha mihadarati na madawa haramu ya kulevya.