-
Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan
Apr 04, 2022 02:34Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imepasisha sheria ya kupiga marufuku kilimo cha mipopi na uzalishaji wa aina nyingine zote za dawa za kulevya.
-
Iran imeshawapelekea wananchi wa Afghanistan zaidi ya shehena 30 za misaada ya kibinadamu
Apr 01, 2022 03:30Mwakilishi wa Kudumu wa Iran kwenye Umoja wa Mataifa amesema kuwa, katika kipindi cha miezi michache iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewapelekea wananchi wa Afghanistan zaidi ya shehena 30 za misaada ya kibinadamu na kusisitiza kuwa, kuna udharura kwa jamii ya kimataifa kuisaidia kifedha Afghanisan ili ivuke katika kipindi hiki kigumu.
-
Kikao cha Tatu cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi jirani na Afghanistan
Apr 01, 2022 02:41Mji wa Tunxi wa jimbo la Anhui la katikati mwa China Jumatano ya juzi na Alkhamisi ya jana ulikuwa mwenyeji wa Kikao cha Tatu cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Majirani ya Afghanistan. Kikao cha kwanza na cha pili cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazopakana na Afghanistan vilifanyika mwaka jana katika nchi za Pakistan na Iran kwa utaratibu.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu
Mar 31, 2022 02:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Mwito wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa Taliban
Mar 27, 2022 02:30Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka Taliban ichukue hatua haraka iwezekanavyo kuhakikisha wasichana nchini Afghanistan wanarudi mashuleni kuendelea na masomo.
-
Taliban yatangaza mpango wa kuwezesha kufunguliwa tena skuli za wasichana Afghanistan
Mar 26, 2022 02:24Msemaji wa wizara ya elimu ya serikali ya Taliban nchini Afghanistan ametangaza kuwa, mpango wa kuwezesha kufunguliwa tena skuli za wasichana kuanzia darasa la saba umekabidhiwa kwa rais wa serikali ya nchi hiyo.
-
Taliban yafanya kikao muhimu kujadili mabadiliko serikalini na kutambuliwa kimataifa
Mar 23, 2022 07:28Kundi la Taliban nchini Afghanistan limefanya kikao muhimu cha kujadili mabadiliko ya baraza lake la mawaziri na nini kifanyike ili serikali ya kundi hilo itambuliwe na kukubaliwa kimataifa.
-
Baada ya kutelekezwa na Marekani, wakimbizi Waafghani waliokuweko UAE warejea nyumbani
Mar 15, 2022 13:18Mamia ya wahajiri Waafghani ambao walikuwa wamewekwa kwenye kambi moja nchini Imarati tangu miezi saba nyuma, wakiwa na matumaini ya kusafirishwa kupelekwa Marekani wameamua kurudi nchini kwao Afghanistan kutokana na ukwamishaji ambao Washington imekuwa ikiendelea kuufanya kuhusiana na safari yao.
-
Sisitizo la serikali ya Taliban la kufuatiliwa mafaili ya viongozi wa zamani wa Afghanistan
Mar 03, 2022 11:19Rais wa serikali ya mpito ya Afghanistan ametoa wito wa kufuatiliwa mafaili ya viongozi wa serikali ya zamani ya nchi hiyo.
-
Maelfu ya wahajiri Waafghani wametelekezwa na Marekani makambini nchini Imarati
Mar 02, 2022 03:36Maelfu ya wahajiri Waafghani, ambao waliondolewa nchini mwao Afghanistan katika "Operesheni ya Uhamishaji" ya askari wa jeshi la Marekani wamebaki hawana mbele wala nyuma baada ya kupita karibu miezi saba tangu wahamishiwe katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.