Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan

    Taliban yapiga marufuku uzalishaji wa mihadarati nchini Afghanistan

    Apr 04, 2022 02:34

    Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imepasisha sheria ya kupiga marufuku kilimo cha mipopi na uzalishaji wa aina nyingine zote za dawa za kulevya.

  • Iran imeshawapelekea wananchi wa Afghanistan zaidi ya shehena 30 za misaada ya kibinadamu

    Iran imeshawapelekea wananchi wa Afghanistan zaidi ya shehena 30 za misaada ya kibinadamu

    Apr 01, 2022 03:30

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran kwenye Umoja wa Mataifa amesema kuwa, katika kipindi cha miezi michache iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewapelekea wananchi wa Afghanistan zaidi ya shehena 30 za misaada ya kibinadamu na kusisitiza kuwa, kuna udharura kwa jamii ya kimataifa kuisaidia kifedha Afghanisan ili ivuke katika kipindi hiki kigumu.

  • Kikao cha Tatu cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi jirani na Afghanistan

    Kikao cha Tatu cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi jirani na Afghanistan

    Apr 01, 2022 02:41

    Mji wa Tunxi wa jimbo la Anhui la katikati mwa China Jumatano ya juzi na Alkhamisi ya jana ulikuwa mwenyeji wa Kikao cha Tatu cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Majirani ya Afghanistan. Kikao cha kwanza na cha pili cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazopakana na Afghanistan vilifanyika mwaka jana katika nchi za Pakistan na Iran kwa utaratibu.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu

    Iran: Utawala wa Kizayuni ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu

    Mar 31, 2022 02:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio tatizo kuu la Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mwito wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa Taliban

    Mwito wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa Taliban

    Mar 27, 2022 02:30

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka Taliban ichukue hatua haraka iwezekanavyo kuhakikisha wasichana nchini Afghanistan wanarudi mashuleni kuendelea na masomo.

  • Taliban yatangaza mpango wa kuwezesha kufunguliwa tena skuli za wasichana Afghanistan

    Taliban yatangaza mpango wa kuwezesha kufunguliwa tena skuli za wasichana Afghanistan

    Mar 26, 2022 02:24

    Msemaji wa wizara ya elimu ya serikali ya Taliban nchini Afghanistan ametangaza kuwa, mpango wa kuwezesha kufunguliwa tena skuli za wasichana kuanzia darasa la saba umekabidhiwa kwa rais wa serikali ya nchi hiyo.

  • Taliban yafanya kikao muhimu kujadili mabadiliko serikalini na kutambuliwa kimataifa

    Taliban yafanya kikao muhimu kujadili mabadiliko serikalini na kutambuliwa kimataifa

    Mar 23, 2022 07:28

    Kundi la Taliban nchini Afghanistan limefanya kikao muhimu cha kujadili mabadiliko ya baraza lake la mawaziri na nini kifanyike ili serikali ya kundi hilo itambuliwe na kukubaliwa kimataifa.

  • Baada ya kutelekezwa na Marekani, wakimbizi Waafghani waliokuweko UAE warejea nyumbani

    Baada ya kutelekezwa na Marekani, wakimbizi Waafghani waliokuweko UAE warejea nyumbani

    Mar 15, 2022 13:18

    Mamia ya wahajiri Waafghani ambao walikuwa wamewekwa kwenye kambi moja nchini Imarati tangu miezi saba nyuma, wakiwa na matumaini ya kusafirishwa kupelekwa Marekani wameamua kurudi nchini kwao Afghanistan kutokana na ukwamishaji ambao Washington imekuwa ikiendelea kuufanya kuhusiana na safari yao.

  • Sisitizo la serikali ya Taliban la kufuatiliwa mafaili ya viongozi wa zamani wa Afghanistan

    Sisitizo la serikali ya Taliban la kufuatiliwa mafaili ya viongozi wa zamani wa Afghanistan

    Mar 03, 2022 11:19

    Rais wa serikali ya mpito ya Afghanistan ametoa wito wa kufuatiliwa mafaili ya viongozi wa serikali ya zamani ya nchi hiyo.

  • Maelfu ya wahajiri Waafghani wametelekezwa na Marekani makambini nchini Imarati

    Maelfu ya wahajiri Waafghani wametelekezwa na Marekani makambini nchini Imarati

    Mar 02, 2022 03:36

    Maelfu ya wahajiri Waafghani, ambao waliondolewa nchini mwao Afghanistan katika "Operesheni ya Uhamishaji" ya askari wa jeshi la Marekani wamebaki hawana mbele wala nyuma baada ya kupita karibu miezi saba tangu wahamishiwe katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS