Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Umoja wa Mataifa: Ni asilimia 12 tu ya fedha zinazohitajika kuisaidia Afghanistan ndizo zilizopatikana

    Umoja wa Mataifa: Ni asilimia 12 tu ya fedha zinazohitajika kuisaidia Afghanistan ndizo zilizopatikana

    Feb 27, 2022 04:17

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, ni asilimia 12 tu ya fedha zilizokuwa zikihitajiwa na umoja huo kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa Afghanistan ndizo zilizopatikana.

  • Indhari ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu kuhusiana na hali ya afya  na huduma za tiba Afghanistan

    Indhari ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu kuhusiana na hali ya afya na huduma za tiba Afghanistan

    Feb 26, 2022 02:40

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limekosoa mwenendo wa utoaji chanjo nchini Afghanistan na kuitaka jamii ya kimataifa kuiunga mkono sekta ya tiba ya nchi hiyo.

  • Msimamo wa mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan kuhusu kuendelezwa diplomasia na Taliban

    Msimamo wa mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan kuhusu kuendelezwa diplomasia na Taliban

    Feb 22, 2022 14:44

    Baada ya kupita miezi sita tangu wanamgambo wa Taliban wachukue madaraka nchini Afghanistan, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan amesema kuwa, kuendelezwa mawasiliano na Taliban na kufanyika mazungumzo baina ya Waafghani ndio chaguo bora zaidi na ni kwa maslahi ya pande zote nchini humo pamoja na jamii ya kimataifa.

  • Wasiwasi wa UN kuhusu kupanuka zaidi ugaidi wa ISIS kutoka Afghanistan

    Wasiwasi wa UN kuhusu kupanuka zaidi ugaidi wa ISIS kutoka Afghanistan

    Feb 21, 2022 01:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake kuhusu tishio la ugaidi wa kundi la Daesh (ISIS) unaoenea kutoka Afghanistan. Antonio Guterres amesema magaidi ni hodari sana katika kutumia umbwe wa madaraka.

  • WFP: Asilimia 95 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha

    WFP: Asilimia 95 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha

    Feb 20, 2022 13:27

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, asilimia 95 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha.

  • Taliban yatishia kuangalia upya sera za Afghanistan kwa Marekani

    Taliban yatishia kuangalia upya sera za Afghanistan kwa Marekani

    Feb 16, 2022 02:35

    Serikali ya Taliban nchini Afghansitan imetishia kuangalia upya misimamo na sera zake kwa Marekani, iwapo Washington itakataa kuachia mabilioni ya fedha za Waafghani ilizozuilia.

  • Guterres alitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan

    Guterres alitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan

    Feb 14, 2022 07:42

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan ambao wanataabika kutokana na hali mbaya ya uhaba mkubwa wa chakula.

  • Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani

    Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani

    Feb 13, 2022 12:45

    Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul, kulalamikia kitendo cha hatua ya Marekani ya kupora mabilioni ya dola za Afghanistan na kuzitumia kuwalipa wanaodai fidia kutokana na mashambulizi ya Septamba 11 mwaka 2001.

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu wanaharakati wa kike waliotoweka Afghanistan

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu wanaharakati wa kike waliotoweka Afghanistan

    Feb 09, 2022 02:58

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wa umoja huo kuhusu kukosekana taarifa kuhusiana na hali ya wanaharakti wa kike waliotoweka huko Afghanistan na kutaka kuitaka serikali ya Taliban kufanya uchunguzi katika uwanja huo.

  • Mripuko wa ugonjwa wa surua waua watoto 74 Afghanistan

    Mripuko wa ugonjwa wa surua waua watoto 74 Afghanistan

    Feb 07, 2022 02:52

    Mripuko wa ugonjwa wa surua (measles) umeua makumi ya watoto kaskazini mwa Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS