Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu wanaharakati wa kike waliotoweka Afghanistan

    UN yataka kufanyika uchunguzi kuhusu wanaharakati wa kike waliotoweka Afghanistan

    Feb 08, 2022 23:28

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amebainisha wasiwasi wa umoja huo kuhusu kukosekana taarifa kuhusiana na hali ya wanaharakti wa kike waliotoweka huko Afghanistan na kutaka kuitaka serikali ya Taliban kufanya uchunguzi katika uwanja huo.

  • Mripuko wa ugonjwa wa surua waua watoto 74 Afghanistan

    Mripuko wa ugonjwa wa surua waua watoto 74 Afghanistan

    Feb 06, 2022 23:22

    Mripuko wa ugonjwa wa surua (measles) umeua makumi ya watoto kaskazini mwa Afghanistan.

  • Kupinga Taliban kuhusu hali ya wananchi wa Afghanistan

    Kupinga Taliban kuhusu hali ya wananchi wa Afghanistan

    Feb 03, 2022 23:05

    Kundi la Taliban limepinga pakubwa ripoti mbalimbali zilizotolewa kuhusu hali ya mambo inayowakabili wananchi wa Afghanistan na halipo tayari kukubali uhakika wa mambo wa jamii ya nchi hiyo hasa baada ya kundi hilo kuchukua madaraka huko Afghanistan.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuchungwa haki za msingi za binadamu na Taliban nchini Afghanistan

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuchungwa haki za msingi za binadamu na Taliban nchini Afghanistan

    Feb 01, 2022 00:39

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, ili serikali ya Taliban nchini Afghanistan iwe na uwanachama katika jamii ya kimataifa na iweze kutambuliwa rasmi, inapaswa kuchunga haki za msingi za binadamu zikiwemo za wanawake.

  • Indhari ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuhusu ukosefu wa ajira nchini Afghanistan

    Indhari ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuhusu ukosefu wa ajira nchini Afghanistan

    Jan 22, 2022 23:07

    Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetahadharisha kuhusu kuendelea ukosefu wa ajira miongoni mwa wananchi wa Afghanistan.

  • Sanders: Afghanistan inakabiliwa na janga kubwa

    Sanders: Afghanistan inakabiliwa na janga kubwa

    Jan 19, 2022 04:43

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amezungumzia hali mbaya ya Afghanistan na kutoa wito kwa serikali ya Marekani kuachilia mabilioni ya dola fedha za Afghanistan yanayozuiliwa nchini humo.

  • Baa la njaa nchini Afghanistan

    Baa la njaa nchini Afghanistan

    Jan 16, 2022 09:02

    Zaidi ya watu milioni 22 nchini Afghanistan wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.

  • Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan

    Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan

    Jan 14, 2022 21:16

    Serikali ya Taliban imeitaka Washington itekeleze mwito uliotolewa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa, wa kuachia fedha za Afghanistan zilizozuiwa nchini Marekani.

  • Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Jan 10, 2022 05:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Iran na Saudia zinapanga kufanya awamu ya tano ya mazungumzo chini ya uenyeji wa nchi ya Iraq.

  • Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Dec 24, 2021 04:23

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi zilizoivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa muda wa miaka 20 ndizo hasa zenye jukumu nambari moja la kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS