Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Kupinga Taliban kuhusu hali ya wananchi wa Afghanistan

    Kupinga Taliban kuhusu hali ya wananchi wa Afghanistan

    Feb 04, 2022 02:35

    Kundi la Taliban limepinga pakubwa ripoti mbalimbali zilizotolewa kuhusu hali ya mambo inayowakabili wananchi wa Afghanistan na halipo tayari kukubali uhakika wa mambo wa jamii ya nchi hiyo hasa baada ya kundi hilo kuchukua madaraka huko Afghanistan.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuchungwa haki za msingi za binadamu na Taliban nchini Afghanistan

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuchungwa haki za msingi za binadamu na Taliban nchini Afghanistan

    Feb 01, 2022 04:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, ili serikali ya Taliban nchini Afghanistan iwe na uwanachama katika jamii ya kimataifa na iweze kutambuliwa rasmi, inapaswa kuchunga haki za msingi za binadamu zikiwemo za wanawake.

  • Indhari ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuhusu ukosefu wa ajira nchini Afghanistan

    Indhari ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuhusu ukosefu wa ajira nchini Afghanistan

    Jan 23, 2022 02:37

    Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetahadharisha kuhusu kuendelea ukosefu wa ajira miongoni mwa wananchi wa Afghanistan.

  • Sanders: Afghanistan inakabiliwa na janga kubwa

    Sanders: Afghanistan inakabiliwa na janga kubwa

    Jan 19, 2022 08:13

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amezungumzia hali mbaya ya Afghanistan na kutoa wito kwa serikali ya Marekani kuachilia mabilioni ya dola fedha za Afghanistan yanayozuiliwa nchini humo.

  • Baa la njaa nchini Afghanistan

    Baa la njaa nchini Afghanistan

    Jan 16, 2022 12:32

    Zaidi ya watu milioni 22 nchini Afghanistan wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.

  • Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan

    Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan

    Jan 15, 2022 00:46

    Serikali ya Taliban imeitaka Washington itekeleze mwito uliotolewa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa, wa kuachia fedha za Afghanistan zilizozuiwa nchini Marekani.

  • Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia

    Jan 10, 2022 08:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Iran na Saudia zinapanga kufanya awamu ya tano ya mazungumzo chini ya uenyeji wa nchi ya Iraq.

  • Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo

    Dec 24, 2021 07:53

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi zilizoivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa muda wa miaka 20 ndizo hasa zenye jukumu nambari moja la kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo.

  • Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya

    Dec 24, 2021 02:49

    Marekani na waitifaki wake ambao waliivamia na kuikali kwa mabavu nchi ya Afghanistan kwa kipindi cha miaka 20 wameua kwa umati raia wengi wa nchi hiyo hususan watoto wadogo kwa kutumia kisingizio cha kupambana na ugaidi; na sasa Washington na washirika wake wanaendeleza mauaji ya halaiki na ya kimya kimya dhidi ya raia wa Afghanistan.

  • India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh

    India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh

    Dec 23, 2021 08:08

    Serikali ya India imesema imewapatia uraia watu elfu tatu, ambao ni raia wa jamii za wachache katika nchi za Afghanistan, Pakistan na Bangladesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS