-
Kupinga Taliban kuhusu hali ya wananchi wa Afghanistan
Feb 04, 2022 02:35Kundi la Taliban limepinga pakubwa ripoti mbalimbali zilizotolewa kuhusu hali ya mambo inayowakabili wananchi wa Afghanistan na halipo tayari kukubali uhakika wa mambo wa jamii ya nchi hiyo hasa baada ya kundi hilo kuchukua madaraka huko Afghanistan.
-
Sisitizo la Katibu Mkuu wa UN la kuchungwa haki za msingi za binadamu na Taliban nchini Afghanistan
Feb 01, 2022 04:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, ili serikali ya Taliban nchini Afghanistan iwe na uwanachama katika jamii ya kimataifa na iweze kutambuliwa rasmi, inapaswa kuchunga haki za msingi za binadamu zikiwemo za wanawake.
-
Indhari ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuhusu ukosefu wa ajira nchini Afghanistan
Jan 23, 2022 02:37Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetahadharisha kuhusu kuendelea ukosefu wa ajira miongoni mwa wananchi wa Afghanistan.
-
Sanders: Afghanistan inakabiliwa na janga kubwa
Jan 19, 2022 08:13Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amezungumzia hali mbaya ya Afghanistan na kutoa wito kwa serikali ya Marekani kuachilia mabilioni ya dola fedha za Afghanistan yanayozuiliwa nchini humo.
-
Baa la njaa nchini Afghanistan
Jan 16, 2022 12:32Zaidi ya watu milioni 22 nchini Afghanistan wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.
-
Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan
Jan 15, 2022 00:46Serikali ya Taliban imeitaka Washington itekeleze mwito uliotolewa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa, wa kuachia fedha za Afghanistan zilizozuiwa nchini Marekani.
-
Khatibzadeh: Ipo ajenda ya kufanyika duru ya tano ya mazungumzo baina ya Iran na Saudia
Jan 10, 2022 08:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema Iran na Saudia zinapanga kufanya awamu ya tano ya mazungumzo chini ya uenyeji wa nchi ya Iraq.
-
Russia: Walioivamia Afghanistan na kuikalia kwa mabavu miaka 20, ni wajibu wao kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo
Dec 24, 2021 07:53Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, nchi zilizoivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan kwa muda wa miaka 20 ndizo hasa zenye jukumu nambari moja la kuwasaidia wananchi wa nchi hiyo.
-
Marekani yatuhumiwa kuua watu wa Afghanistan kimya kimya
Dec 24, 2021 02:49Marekani na waitifaki wake ambao waliivamia na kuikali kwa mabavu nchi ya Afghanistan kwa kipindi cha miaka 20 wameua kwa umati raia wengi wa nchi hiyo hususan watoto wadogo kwa kutumia kisingizio cha kupambana na ugaidi; na sasa Washington na washirika wake wanaendeleza mauaji ya halaiki na ya kimya kimya dhidi ya raia wa Afghanistan.
-
India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh
Dec 23, 2021 08:08Serikali ya India imesema imewapatia uraia watu elfu tatu, ambao ni raia wa jamii za wachache katika nchi za Afghanistan, Pakistan na Bangladesh.