Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Baraza la Usalama la UN lapitisha azimio la kurahisisha upelekaji misaada Afghanistan

    Baraza la Usalama la UN lapitisha azimio la kurahisisha upelekaji misaada Afghanistan

    Dec 23, 2021 06:42

    Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamepitisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha shughuli za upelekaji misaada nchini Afghanistan.

  • UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi

    UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi

    Dec 21, 2021 07:42

    Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupokea idadi kubwa ya wakimbizi licha ya matatizo yanayoikabili na kusema imeisaidia jamii ya kimataifa.

  • Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo

    Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo

    Dec 21, 2021 02:42

    Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afghanistan katika serikali ya mpito ya Taliban amesema kuwa kushirikishwa Waafghani wote katika muundo wa serikali ya nchi hiyo ni jambo la lazima.

  • Iran: Amani endelevu itapatikana tu Afghanistan kwa kuundwa serikali shirikishi

    Iran: Amani endelevu itapatikana tu Afghanistan kwa kuundwa serikali shirikishi

    Dec 19, 2021 13:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: amani endelevu na ya kudumu itaweza kupatikana tu nchini Afghanistan ikiwa itaundwa serikali shirikishi na itakayojumuisha pande zote.

  • Russia yakanusha tuhuma za kuiuzia silaha Taliban, yasema ni madai ya kijinga

    Russia yakanusha tuhuma za kuiuzia silaha Taliban, yasema ni madai ya kijinga

    Dec 17, 2021 13:14

    Mwakilishi wa rais wa Russia katika masuala ya Afghanistan amekanusha habari iliyotangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi kwamba nchi hiyo imeiuzia silaha serikali ya Taliban.

  • Lengo la mkutano wa Islamabad ni kuisaidia nchi ya Afghanistan

    Lengo la mkutano wa Islamabad ni kuisaidia nchi ya Afghanistan

    Dec 17, 2021 11:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amesema kuwa, lengo la kikao cha Islamabad ni mkusanyiko wa kimataifa kwa ajili ya kuisaidia Afghanistan.

  • Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

    Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan

    Dec 15, 2021 02:28

    Afisa mmoja wa Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) amesema kuwa, mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan ni wa aina yake na haujawahi kushuhudiwa.

  • Araqchi: Marekani inabeba dhima kwa hali ya sasa Afghanistan

    Araqchi: Marekani inabeba dhima kwa hali ya sasa Afghanistan

    Dec 06, 2021 03:16

    Katibu wa Baraza la Kistratajia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema Marekani ndiyo inayopaswa kulaumiwa na kuwabishwa kutokana na matatizo mengi yanaoikumba Afghanistan.

  • Raisi: Uhusiano unaoimarika kati ya Iran na Tajikistan utaendelezwa kwa nguvu

    Raisi: Uhusiano unaoimarika kati ya Iran na Tajikistan utaendelezwa kwa nguvu

    Nov 28, 2021 11:56

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa uhusiano mwema kati ya Iran na Tajikistan utaendelezwa kwa nguvu zote katika nyanja za kibiashara, kiutamaduni na kiuchumi.

  •  Taliban yaituhumu CIA kuwa inafanya mipango ya kuigawa Afghanistan

    Taliban yaituhumu CIA kuwa inafanya mipango ya kuigawa Afghanistan

    Nov 28, 2021 02:50

    Afisa wa ngazi ya juu wa kundi la Taliban ametangaza kuwa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA linafanya jitihada za kuigawa Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS