-
Baraza la Usalama la UN lapitisha azimio la kurahisisha upelekaji misaada Afghanistan
Dec 23, 2021 06:42Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamepitisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha shughuli za upelekaji misaada nchini Afghanistan.
-
UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi
Dec 21, 2021 07:42Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupokea idadi kubwa ya wakimbizi licha ya matatizo yanayoikabili na kusema imeisaidia jamii ya kimataifa.
-
Ulegezaji kamba katika misimamo ya Taliban, kutoka maneno hadi vitendo
Dec 21, 2021 02:42Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Afghanistan katika serikali ya mpito ya Taliban amesema kuwa kushirikishwa Waafghani wote katika muundo wa serikali ya nchi hiyo ni jambo la lazima.
-
Iran: Amani endelevu itapatikana tu Afghanistan kwa kuundwa serikali shirikishi
Dec 19, 2021 13:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: amani endelevu na ya kudumu itaweza kupatikana tu nchini Afghanistan ikiwa itaundwa serikali shirikishi na itakayojumuisha pande zote.
-
Russia yakanusha tuhuma za kuiuzia silaha Taliban, yasema ni madai ya kijinga
Dec 17, 2021 13:14Mwakilishi wa rais wa Russia katika masuala ya Afghanistan amekanusha habari iliyotangazwa na vyombo vya habari vya Magharibi kwamba nchi hiyo imeiuzia silaha serikali ya Taliban.
-
Lengo la mkutano wa Islamabad ni kuisaidia nchi ya Afghanistan
Dec 17, 2021 11:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amesema kuwa, lengo la kikao cha Islamabad ni mkusanyiko wa kimataifa kwa ajili ya kuisaidia Afghanistan.
-
Mgogoro wa kibinadamu ambao haujawahi kushuhudiwa nchini Afghanistan
Dec 15, 2021 02:28Afisa mmoja wa Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) amesema kuwa, mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan ni wa aina yake na haujawahi kushuhudiwa.
-
Araqchi: Marekani inabeba dhima kwa hali ya sasa Afghanistan
Dec 06, 2021 03:16Katibu wa Baraza la Kistratajia la Mahusiano ya Kigeni la Iran amesema Marekani ndiyo inayopaswa kulaumiwa na kuwabishwa kutokana na matatizo mengi yanaoikumba Afghanistan.
-
Raisi: Uhusiano unaoimarika kati ya Iran na Tajikistan utaendelezwa kwa nguvu
Nov 28, 2021 11:56Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa uhusiano mwema kati ya Iran na Tajikistan utaendelezwa kwa nguvu zote katika nyanja za kibiashara, kiutamaduni na kiuchumi.
-
Taliban yaituhumu CIA kuwa inafanya mipango ya kuigawa Afghanistan
Nov 28, 2021 02:50Afisa wa ngazi ya juu wa kundi la Taliban ametangaza kuwa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA linafanya jitihada za kuigawa Afghanistan.