Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Amnesty yaonya: Maafa ya kibinadamu yataikumba Afghanistan isipoondolewa vikwazo

    Amnesty yaonya: Maafa ya kibinadamu yataikumba Afghanistan isipoondolewa vikwazo

    Nov 24, 2021 15:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema, ikiwa Afghanistan haitaruhusiwa kutumia akiba zake za benki kwa ajili ya kusaidia watu wake, maafa ya kibinadamu yataikumba nchi hiyo katika kipindi cha miezi ijayo.

  • Msemaji wa UN: Mfumo wa fedha na kibenki wa Afghanistan unakaribia kusambaratika

    Msemaji wa UN: Mfumo wa fedha na kibenki wa Afghanistan unakaribia kusambaratika

    Nov 23, 2021 12:08

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine ametahadharisha kuhusu mgogoro wa kiuchumi huko Afghanistan na kueleza kuwa mfumo wa fedha na kibenki wa nchi hiyo unakaribia kuanguka.

  • Iran yasikitishwa na hali mbaya ya wakimbizi wa Afghanistan

    Iran yasikitishwa na hali mbaya ya wakimbizi wa Afghanistan

    Nov 22, 2021 11:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza wasi wasi wake kuhusu hali mbaya inayowakabili wakimbizi wa Afghanistan.

  • Asilimia 87 ya mihadarati ya mmea wa mpopi (opium) inazalishwa nchini Afghanistan

    Asilimia 87 ya mihadarati ya mmea wa mpopi (opium) inazalishwa nchini Afghanistan

    Nov 21, 2021 02:59

    Uzalishaji wa madawa ya kulevya yanayotokana na mmea wa mpopi maarufu kwa jina la "tiyrak" au "opium" umeongezeka sana nchini Afghanistan, na hivi sasa asilimia 87 ya madawa hayo haramu duniani, yanazalishwa nchini humo.

  • Ripoti ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan kwa Baraza la Usalama

    Ripoti ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan kwa Baraza la Usalama

    Nov 19, 2021 08:39

    Deborah Lyons, Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan amesema katika ripoti yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba ana shaka iwapo serikali ya muda inayoongozwa na Taliban nchini Afghanistan ina uwezo wa kukabiliana na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Madai ya Taliban ya kuwepo serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Madai ya Taliban ya kuwepo serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Nov 15, 2021 02:46

    Kaimu waziri wa mambo ya nje wa serikali ya muda ya Taliban amekataa wito wa jamii ya kimataifa unaosisitizia ulazima wa kuundwa serikali jumuishi nchini Afghanistan na kudai kwamba, serikali ya Taliban ni jumuishi na ndani yake wamo wawakilishi wa jamii zote za nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa waonya kuhusu mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan

    Umoja wa Mataifa waonya kuhusu mgogoro wa kibinadamu nchini Afghanistan

    Nov 13, 2021 04:18

    Mwakilishi wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Afghanistan ametahadharisha kuhusu mgogoro mkubwa wa kibinadamu unaoinyemelea nchi hiyo.

  • Maelfu ya wakimbizi wa Kiafghani wanaingia Iran kila siku

    Maelfu ya wakimbizi wa Kiafghani wanaingia Iran kila siku

    Nov 11, 2021 08:09

    Shirika moja la Ulaya la kushughulikia maslahi ya wakimbizi limeiasa jamii ya kimataifa kuwapa msaada wa chakula na makazi maelfu ya wakimbizi wanaoingia nchini Iran kila siku wakitokea Afghanistan.

  • Iran: Marekani iwajibishwe kwa matatizo yanaoikumba Afghanistan

    Iran: Marekani iwajibishwe kwa matatizo yanaoikumba Afghanistan

    Nov 10, 2021 14:26

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani na waitifaki wake wanapaswa kubebeshwa dhima kutokana na migogoro na matatizo mengine yanayoshuhudiwa hii leo nchini Afghanistan.

  • Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Nov 10, 2021 02:40

    Ukulima wa mipopi inayozalisha mihadarati ya kasumba umeongezeka nchini Afghanistan kutokana na vikwazo lilivyowekewa kundi la Taliban linalotawala nchi hiyo kwa sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS