Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

    Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

    Nov 10, 2021 02:38

    Thomas West, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala Afghanistan amedai kuwa, Washington ina wasiwasi na suala la kuongezeka hujuma na mashambulio ya makundi yenye mfungamano na kundi la Daesh na uwepo wenye kuendelea wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda.

  • Skuli za wasichana zafunguliwa tena katika mkoa wa Herat, Afghanistan

    Skuli za wasichana zafunguliwa tena katika mkoa wa Herat, Afghanistan

    Nov 07, 2021 12:06

    Skuli za wasichana katika mkoa wa Herat nchini Afghanistan zimefunguliwa tena.

  • Unicef kuwalipa mishahara  walimu moja kwa moja nchini Afghanistan

    Unicef kuwalipa mishahara walimu moja kwa moja nchini Afghanistan

    Nov 04, 2021 23:54

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema kuwa unafanya mpango wa kuanzisha mfumo ambao utawafadhili kifedha moja kwa moja walimu nchini Afghanistan. Hiyo ni baada ya jamii ya kimataifa kuzuia fedha kwa utawala wa kundi la Taliban linaloongoza nchi hiyo.

  • 25 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Afghanistan

    25 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Afghanistan

    Nov 02, 2021 14:14

    Makumi ya watu wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea leo katika hospitali ya kijeshi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya watoto milioni moja nchini Afghanistan

    UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya watoto milioni moja nchini Afghanistan

    Oct 31, 2021 02:20

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetahadharisha kuwa, watoto milioni moja wa Afghanistan wako katika hali mbaya na hatari ya kupoteza maisha kutokana na lishe duni.

  • Guterres: Afghanistan imekumbwa na mgogoro usioelezeka wa kibinadamu

    Guterres: Afghanistan imekumbwa na mgogoro usioelezeka wa kibinadamu

    Oct 28, 2021 07:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuwaokoa wananchi wa Afghanistan na kusisitiza kuwa, nchi hiyo hivi sasa imo kwenye mgogoro mkubwa wa kibinadamu ambao hauelezeki hivyo hatua za haraka lazima zichukuliwe kuepusha kutokea janga kubwa la kibinadamu nchini humo.

  • Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Oct 28, 2021 02:32

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Jrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.

  • Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Oct 28, 2021 02:15

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan na irejeshe mali hizo zinazoshikiliwa na mabenki ya Marekani.

  • Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Oct 27, 2021 08:12

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia umeanza kufanyika hapa mjini Tehran kwa shabaha ya kujadili changamoto mbambali zinazoikabili nchi hiyo baada ya majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo na wanamgambo wa Taliban kuchukua hatamu za uongozi wa nchi.

  • Iran: Tunaendelea kufanya mashauriano ya kiusalama na serikali mpya ya Afghanistan

    Iran: Tunaendelea kufanya mashauriano ya kiusalama na serikali mpya ya Afghanistan

    Oct 26, 2021 12:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inaendelea kufanya mashauriano na serikali mpya ya Afghanistan hasa katika masuala ya kuleta amani, utulivu na usalama wa kudunu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS