Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Iran: Marekani iwajibishwe kwa matatizo yanaoikumba Afghanistan

    Iran: Marekani iwajibishwe kwa matatizo yanaoikumba Afghanistan

    Nov 10, 2021 10:56

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani na waitifaki wake wanapaswa kubebeshwa dhima kutokana na migogoro na matatizo mengine yanayoshuhudiwa hii leo nchini Afghanistan.

  • Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Ukulima wa mipopi umeshamiri Afghanistan kutokana na vikwazo ilivyowekewa Taliban

    Nov 09, 2021 23:10

    Ukulima wa mipopi inayozalisha mihadarati ya kasumba umeongezeka nchini Afghanistan kutokana na vikwazo lilivyowekewa kundi la Taliban linalotawala nchi hiyo kwa sasa.

  • Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

    Madai ya Marekani ya kuwa na wasiwasi kuhusu mashambulio ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Afghanistan

    Nov 09, 2021 23:08

    Thomas West, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala Afghanistan amedai kuwa, Washington ina wasiwasi na suala la kuongezeka hujuma na mashambulio ya makundi yenye mfungamano na kundi la Daesh na uwepo wenye kuendelea wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda.

  • Skuli za wasichana zafunguliwa tena katika mkoa wa Herat, Afghanistan

    Skuli za wasichana zafunguliwa tena katika mkoa wa Herat, Afghanistan

    Nov 07, 2021 08:36

    Skuli za wasichana katika mkoa wa Herat nchini Afghanistan zimefunguliwa tena.

  • Unicef kuwalipa mishahara  walimu moja kwa moja nchini Afghanistan

    Unicef kuwalipa mishahara walimu moja kwa moja nchini Afghanistan

    Nov 04, 2021 20:24

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umesema kuwa unafanya mpango wa kuanzisha mfumo ambao utawafadhili kifedha moja kwa moja walimu nchini Afghanistan. Hiyo ni baada ya jamii ya kimataifa kuzuia fedha kwa utawala wa kundi la Taliban linaloongoza nchi hiyo.

  • 25 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Afghanistan

    25 wauawa katika mashambulizi pacha ya mabomu Afghanistan

    Nov 02, 2021 10:44

    Makumi ya watu wameuawa katika milipuko miwili ya mabomu iliyotokea leo katika hospitali ya kijeshi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya watoto milioni moja nchini Afghanistan

    UNICEF yaonya kuhusu hali mbaya ya watoto milioni moja nchini Afghanistan

    Oct 30, 2021 22:50

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetahadharisha kuwa, watoto milioni moja wa Afghanistan wako katika hali mbaya na hatari ya kupoteza maisha kutokana na lishe duni.

  • Guterres: Afghanistan imekumbwa na mgogoro usioelezeka wa kibinadamu

    Guterres: Afghanistan imekumbwa na mgogoro usioelezeka wa kibinadamu

    Oct 28, 2021 03:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuwaokoa wananchi wa Afghanistan na kusisitiza kuwa, nchi hiyo hivi sasa imo kwenye mgogoro mkubwa wa kibinadamu ambao hauelezeki hivyo hatua za haraka lazima zichukuliwe kuepusha kutokea janga kubwa la kibinadamu nchini humo.

  • Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Oct 27, 2021 23:02

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Jrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.

  • Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Mwito wa Imran Khan wa kuitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan

    Oct 27, 2021 22:45

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameitaka Marekani iache kuzikalia mali za Afghanistan na irejeshe mali hizo zinazoshikiliwa na mabenki ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS