Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Pakistan la kutokuweko makubaliano baina yake na Marekani ya operesheni za kijeshi nchini Afghanistan

    Oct 25, 2021 02:31

    Serikali ya Pakistan imekanusha ripoti za vyombo vya habari zinazoeleza kufikiwa makubaliano kati yake na Marekani kwa ajili ya kufanya operesheni za kijeshi na kijasusi nchini Afghanistan.

  • DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    Oct 23, 2021 07:48

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limekiri kuwa ndilo lililohusika na shambulio la kinu kikuu kinachozalisha umeme katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Oct 22, 2021 13:06

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan kilifanyika siku ya Jumatano ya tarehe 20 Oktoba kwa uwenyekiti wa Russia katika mji mkuu huo wa nchi hiyo.

  • Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Oct 20, 2021 02:21

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo la genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh huko Afghanistan ni kuchochea chuki na uadui wa kimadhehebu na ameitaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ilaani vikali vitendo vya kinyama vya Daesh.

  • Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan ajiuzulu

    Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan ajiuzulu

    Oct 19, 2021 07:41

    Zalmay Khalilzad, anayetazamwa kama nembo na kielelezo kikubwa zaidi cha kufeli kidiplomasia Marekani nchini Afghanistan amejiuzulu wadhifa wake wa mjumbe maalumu wa Washington katika masuala ya nchi hiyo.

  • Wanafunzi, wanavyuoni wa kidini Iran walaani mauaji ya Waislamu Afghanistan

    Wanafunzi, wanavyuoni wa kidini Iran walaani mauaji ya Waislamu Afghanistan

    Oct 18, 2021 03:52

    Wahadhiri na wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kidini katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran wamefanya maandamano makubwa ya kulaani ongezeko la mashambulio ya kigaidi yanayolenga misikiti ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan.

  • Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi: Ugaidi unatumiwa kulinda maslahi ya madola ya kibeberu

    Oct 17, 2021 02:26

    Jumuiya ya Kutetea Wahanga wa Ugaidi yenye makao yake nchini Iran imetangaza kuwa, ugaidi umekuwa ukitumiwa kama fimbo na wenzo wa kulinda na kupanua maslahi ya madola ya kibeberu na wala hauna mfungamano na dini wala madhehebu yoyote ya dini.

  • Mlipuko katika msikiti wa Washia katika mji wa Qandahar, Afghanistan

    Mlipuko katika msikiti wa Washia katika mji wa Qandahar, Afghanistan

    Oct 16, 2021 12:04

    Makumi ya watu waliokuwa katika Swala ya Ijumaa wameuawa shahidi na wengine karibu ya mia moja wamejeruhiwa katika milipuko miwili iliyotokea jana Ijumaa katika Msikiti wa Bibi Fatima katika mji wa Qandahar Afghanistan. Hii ni mara ya pili kwa Msikiti wa Washia kukumbwa na milipuko huko Afghanistan katika muda wa wiki moja.

  • Watu zaidi ya 32 wauawa katika hujuma msikitini Qandahar, Afghanistan

    Watu zaidi ya 32 wauawa katika hujuma msikitini Qandahar, Afghanistan

    Oct 15, 2021 14:18

    Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.

  • Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Oct 15, 2021 09:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema magaidi wanahamishwa kutoka Iraq na Syria na kupelekwa Afghanistan jambo ambalo amesisitiza kuwa linahatarisha usalama wa nchi za Umoja wa Sovieti ya zamani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS