-
Iran yatuma ndege nyingine ya misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan
Oct 12, 2021 02:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma ndege nyingine ya misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan kwa ajili ya kusaidiwa majeruhi na familia za Waislamu waliouliwa shahidi na kikatili wakiwa kwenye Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan.
-
Taliban yakataa kushirikiana na Marekani katika mapambano dhidi ya Daesh
Oct 12, 2021 02:30Kundi la Taliban limetangaza kuwa lina uwezo wa kutosha wa kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na kwa msingi huo halitashirikiana na Marekani katika uwanja huo.
-
Hujuma ya kigaidi ya Kunduz, na majukumu ya kundi la Taliban
Oct 10, 2021 02:26Waislamu wasiopungua mia moja wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa wiki hii katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan na wengine karibu mia mbili wamejeruhiwa.
-
Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan
Oct 09, 2021 07:56Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.
-
Iran yalaani mauaji ya Waislamu msikiti wa Ijumaa Kunduz huko Afganistan
Oct 08, 2021 13:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji ya makumi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika hujuma ya kigaidi iliyolenga ibada ya Swala ya Ijumaa mapema leo katika mji wa Kunduz huko kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
-
Taliban wataalikwa katika mazungumzo ya kimataifa ya Moscow kuhusu Afghanistan
Oct 08, 2021 08:01Russia imesema, italialika kundi la Taliban katika mazungumzo ya kimataifa kuhusu Afghanistan yaliyopangwa kufanyika tarehe 20 ya mwezi huu wa Oktoba mjini Moscow.
-
Imethibitishwa kuwa rais mtoro wa Afghanistan aliiba mamilioni ya dola alipokimbilia nje ya nchi
Oct 07, 2021 04:35Msemaji wa kundi la Taliban Zabihullah Mujahid amethibitisha kuwa Muhammad Ashraf Ghani, rais mtoro wa Afghanistan aliiba na kuondoka na mamilioni ya dola wakati alipokimbilia nje ya nchi.
-
Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan
Oct 07, 2021 04:35Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani
-
Ndege ya misaada ya kibinadamu ya Iran yatua mjini Kabul, Afghanistan
Oct 05, 2021 10:47Ndege yenye misaada ya kibinadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya wananchi wenye shida wa Afghanistan, imetua katika mji mkuu wa nchi hiyo Kabul na misaada hiyo kukabidhiwa viongozi wa serikali ya mpito ya Taliban.
-
Taliban yasambaratisha ngombe ya ISIS kaskazini mwa Kabul
Oct 04, 2021 11:36Kundi la Taliban nchini Afghanistan limetangaza habari ya kuuvunja mtandao wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) huko kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul.