Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Iran yatuma ndege nyingine ya misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan

    Iran yatuma ndege nyingine ya misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan

    Oct 12, 2021 02:32

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma ndege nyingine ya misaada ya kibinadamu nchini Afghanistan kwa ajili ya kusaidiwa majeruhi na familia za Waislamu waliouliwa shahidi na kikatili wakiwa kwenye Sala ya Ijumaa huko Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Taliban yakataa kushirikiana na Marekani katika mapambano dhidi ya Daesh

    Taliban yakataa kushirikiana na Marekani katika mapambano dhidi ya Daesh

    Oct 12, 2021 02:30

    Kundi la Taliban limetangaza kuwa lina uwezo wa kutosha wa kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na kwa msingi huo halitashirikiana na Marekani katika uwanja huo.

  • Hujuma ya kigaidi ya Kunduz, na majukumu ya kundi la Taliban

    Hujuma ya kigaidi ya Kunduz, na majukumu ya kundi la Taliban

    Oct 10, 2021 02:26

    Waislamu wasiopungua mia moja wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa wiki hii katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan na wengine karibu mia mbili wamejeruhiwa.

  • Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Oct 09, 2021 07:56

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.

  • Iran yalaani mauaji ya Waislamu msikiti wa Ijumaa Kunduz huko Afganistan

    Iran yalaani mauaji ya Waislamu msikiti wa Ijumaa Kunduz huko Afganistan

    Oct 08, 2021 13:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji ya makumi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika hujuma ya kigaidi iliyolenga ibada ya Swala ya Ijumaa mapema leo katika mji wa Kunduz huko kaskazini mashariki mwa Afghanistan.

  • Taliban wataalikwa katika mazungumzo ya kimataifa ya Moscow kuhusu Afghanistan

    Taliban wataalikwa katika mazungumzo ya kimataifa ya Moscow kuhusu Afghanistan

    Oct 08, 2021 08:01

    Russia imesema, italialika kundi la Taliban katika mazungumzo ya kimataifa kuhusu Afghanistan yaliyopangwa kufanyika tarehe 20 ya mwezi huu wa Oktoba mjini Moscow.

  • Imethibitishwa kuwa rais mtoro wa Afghanistan aliiba mamilioni ya dola alipokimbilia nje ya nchi

    Imethibitishwa kuwa rais mtoro wa Afghanistan aliiba mamilioni ya dola alipokimbilia nje ya nchi

    Oct 07, 2021 04:35

    Msemaji wa kundi la Taliban Zabihullah Mujahid amethibitisha kuwa Muhammad Ashraf Ghani, rais mtoro wa Afghanistan aliiba na kuondoka na mamilioni ya dola wakati alipokimbilia nje ya nchi.

  • Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Siasa za kibeberu za Marekani, msababishaji mkuu wa matatizo yote ya Afghanistan

    Oct 07, 2021 04:35

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema kuwa matatizo yote yaliyoko Afghanistan hivi sasa yamesababishwa na siasa za kibeberu za Marekani

  • Ndege ya misaada ya kibinadamu ya Iran yatua mjini Kabul, Afghanistan

    Ndege ya misaada ya kibinadamu ya Iran yatua mjini Kabul, Afghanistan

    Oct 05, 2021 10:47

    Ndege yenye misaada ya kibinadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya wananchi wenye shida wa Afghanistan, imetua katika mji mkuu wa nchi hiyo Kabul na misaada hiyo kukabidhiwa viongozi wa serikali ya mpito ya Taliban.

  • Taliban yasambaratisha ngombe ya ISIS kaskazini mwa Kabul

    Taliban yasambaratisha ngombe ya ISIS kaskazini mwa Kabul

    Oct 04, 2021 11:36

    Kundi la Taliban nchini Afghanistan limetangaza habari ya kuuvunja mtandao wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) huko kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS