Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Oct 03, 2021 04:39

    Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Mahakama ya ICC yafumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan

    Sep 28, 2021 12:09

    Licha ya uhalifu mkubwa na ukiukaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani nchini Afghanistan katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) sasa inakusudia kuweka kando uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita uliofanywa na wanajeshi wa Marekani na NATO nchini humo.

  • ICC kuchunguza tuhuma za jinai zilizofanywa na Taliban na Daesh

    ICC kuchunguza tuhuma za jinai zilizofanywa na Taliban na Daesh

    Sep 28, 2021 07:17

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetangaza kuwa, kipaumbele cha taasisi hiyo kuhusu uchunguzi wa jinai za kivita zilizofanyika nchini Afghanistan sasa kitaelekezwa kwa makundi ya Taliban na Daesh.

  • Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan

    Wasiwasi wa Pakistan wa kuweko magenge ya kigaidi nchni Afghanistan

    Sep 27, 2021 04:32

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameelezea wasiwasi wake kutokana na kuweko magenge ya kigaidi katika nchi jirani ya Afghanistan kama vile Daesh (ISIS) na Tehrik-i-Taliban.

  • Udharura wa kuchunguzwa jinai zilizofanywa na Marekani na Uingereza nchini Afghanistan

    Udharura wa kuchunguzwa jinai zilizofanywa na Marekani na Uingereza nchini Afghanistan

    Sep 25, 2021 11:01

    Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imetoa ripoti ikithibitisha kuwa majeshi vamizi ya Marekani, shirika la NATO na Uingereza yenyewe yameua raia nchini Afghanistan.

  • WHO yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya Afghanistan tangu Taliban washike madaraka

    WHO yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya Afghanistan tangu Taliban washike madaraka

    Sep 24, 2021 07:01

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu hali ya Afghanistan tangu kundi la wapiganaji wa Taliban liliposhika madaraka ya nchi hiyo na kutangaza kuwa Afghanistan inakaribia kutumbukia katika maafa ya binadamu.

  • Sanders: Mauaji ya jeshi la Marekani dhidi ya raia wa Afghanistan ni maafa ya binadamu

    Sanders: Mauaji ya jeshi la Marekani dhidi ya raia wa Afghanistan ni maafa ya binadamu

    Sep 20, 2021 03:01

    Mwanasiasa, mwanaharakati na seneta mashuhuri wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema kuwa shambulizi lililofanywa na jeshi la nchi hiyo huko Afghanistan ambalo limeua raia 10 wasio na hatia yoyote ni maafa ya binadamu.

  • Khatibzadeh: Kuna udharura wa kuundwa serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Khatibzadeh: Kuna udharura wa kuundwa serikali jumuishi nchini Afghanistan

    Sep 19, 2021 16:34

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, kuna udharura wa kuundwa serikali itakayoshirikisha makundi na kaumu zote za Afghanistan.

  • Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Sep 19, 2021 16:33

    Familia ya raia kumi wa Afghanistan waliouawa katika shambulizi la ndege isiyo na rubani ya jeshi la Marekani mjini Kabul imekataa hatua ya serikali ya Washington ya kuungama na kuomba radhi kutokana mauajii hayo.

  • Watoto wa Kiafghani zaidi ya  milioni nne hawaendi shule

    Watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawaendi shule

    Sep 19, 2021 06:47

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeripoti kuwa watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawajajiandikisha kuanza shule mwaka huu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS