-
Mwito wa kundi la Taliban kwa jamii ya kimataifa
Sep 18, 2021 03:09Kundi la Taliban nchini Afghanistan limesema kuwa linataka kuwa na uhusiano mzuri na jamii ya kimataifa. Kundi hilo limesema kuwa, manufaa ya Afghanistan ni manufaa ya jamii ya kimataifa na kusisitiza kwamba, lina hamu ya kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia na jamii ya kimataifa.
-
UN yakiri kuwa haina uwezo wa kutatua mgogoro wa Afghanistan
Sep 16, 2021 12:02Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, pembenekezo lolote la kudai kuwa umoja huo unaweza kutatua matatizo ya Afghanistan ni ndoto tu ambazo haziwezi kuaguka.
-
Faida kubwa ya mashirika ya kutengeneza silaha ya Marekani kutokana na tukio la Septemba 11
Sep 16, 2021 02:23Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na shirika la Watson Institute for International and Public Affairs la Chuo Kikuu cha Brown nchini Marekani, nusu ya bejeti ya wizara ya ulinzi ya nchi hiyo, Pentagon baina ya miaka ya 2001 hadi 2020 ambayo inafikia dola trilioni 14 imewaendea wakandarasi na mashirika yanayotenegeneza silaha ya nchi hiyo. Kati ya fedha hizo dola trilioni 4.4 zilitengewa vituo vya kijeshi na viwanda vinavyohusika na masuala ya kijeshi.
-
Katibu Mkuu wa UN: Tuna deni kubwa kwa wananchi wa Afghanistan
Sep 14, 2021 08:11Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuhusu mustakabali wa kibinadamu nchini Afghanistan ya kwamba suala muhimu si kile ambacho watapatiwa wananchi wa taifa hilo bali deni la jamii ya kimataifa kwa wananchi wao.
-
Amir Abdollahian: Marekani ndio chanzo cha kuvurugika uthabiti Afghanistan
Sep 14, 2021 03:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani imechangia pakubwa katika kuvurugika amani na uthabiti nchini Afghanistan.
-
Maandamano dhidi ya Pakistan mjini Kabul, Afghanistan
Sep 14, 2021 01:29Idadi kubwa ya wananchi wa Kabul mji mkuu wa Afghanistan wamekusanyika mbele ya ubalozi wa Pakistan wakiitaka Islamabad iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.
-
Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi
Sep 13, 2021 12:07Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumamosi na pembeni mwa sherehe za mwaka wa 20 wa tangu kutokea mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani, alikiri kwamba yumkini kundi la kigaidi la al Qaida likarejea tena Afghanistan na kusisitiza kuwa, Washington haiwezi kupeleka wanajeshi kila sehemu ilipo al Qaida.
-
Wanawake nchini Afghanistan waunga mkono Hijabu na Taliban
Sep 10, 2021 12:42Mamia ya wanawake nchini Afghanistan wamekusanyika katika mkoa wa Kunduz kaskazini mwa nchi hiyo, ambapo sambamba na kutangaza uungaji mkono wao kwa Taliban wamesisitizia pia uvaaji wa vazi la stara la Kiislamu la Hijabu.
-
Kuundwa serikali ya Taliban nchini Afghanistan
Sep 09, 2021 09:09Serikali ya mpito iliyoundwa na wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan imeanza rasmi kazi zake.
-
Iran yatilia mkazo wajibu wa kulindwa usalama na utulivu nchini Afghanistan
Sep 09, 2021 07:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika katika mtandao wa kijamii wa Twitter kwamba, suala la usalama na utulivu wa Afghanistan ni muhimu sana kwa Iran.