Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Sep 19, 2021 12:03

    Familia ya raia kumi wa Afghanistan waliouawa katika shambulizi la ndege isiyo na rubani ya jeshi la Marekani mjini Kabul imekataa hatua ya serikali ya Washington ya kuungama na kuomba radhi kutokana mauajii hayo.

  • Watoto wa Kiafghani zaidi ya  milioni nne hawaendi shule

    Watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawaendi shule

    Sep 19, 2021 02:17

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeripoti kuwa watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawajajiandikisha kuanza shule mwaka huu nchini humo.

  • Mwito wa kundi la Taliban kwa jamii ya kimataifa

    Mwito wa kundi la Taliban kwa jamii ya kimataifa

    Sep 17, 2021 22:39

    Kundi la Taliban nchini Afghanistan limesema kuwa linataka kuwa na uhusiano mzuri na jamii ya kimataifa. Kundi hilo limesema kuwa, manufaa ya Afghanistan ni manufaa ya jamii ya kimataifa na kusisitiza kwamba, lina hamu ya kuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia na jamii ya kimataifa.

  • UN yakiri kuwa haina uwezo wa kutatua mgogoro wa Afghanistan

    UN yakiri kuwa haina uwezo wa kutatua mgogoro wa Afghanistan

    Sep 16, 2021 07:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, pembenekezo lolote la kudai kuwa umoja huo unaweza kutatua matatizo ya Afghanistan ni ndoto tu ambazo haziwezi kuaguka.

  • Faida kubwa ya mashirika ya kutengeneza silaha ya Marekani kutokana na tukio la Septemba 11

    Faida kubwa ya mashirika ya kutengeneza silaha ya Marekani kutokana na tukio la Septemba 11

    Sep 15, 2021 21:53

    Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na shirika la Watson Institute for International and Public Affairs la Chuo Kikuu cha Brown nchini Marekani, nusu ya bejeti ya wizara ya ulinzi ya nchi hiyo, Pentagon baina ya miaka ya 2001 hadi 2020 ambayo inafikia dola trilioni 14 imewaendea wakandarasi na mashirika yanayotenegeneza silaha ya nchi hiyo. Kati ya fedha hizo dola trilioni 4.4 zilitengewa vituo vya kijeshi na viwanda vinavyohusika na masuala ya kijeshi.

  • Katibu Mkuu wa UN: Tuna deni kubwa kwa wananchi wa Afghanistan

    Katibu Mkuu wa UN: Tuna deni kubwa kwa wananchi wa Afghanistan

    Sep 14, 2021 03:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuhusu mustakabali wa kibinadamu nchini Afghanistan ya kwamba suala muhimu si kile ambacho watapatiwa wananchi wa taifa hilo bali deni la jamii ya kimataifa kwa wananchi wao.

  • Amir Abdollahian: Marekani ndio chanzo cha kuvurugika uthabiti Afghanistan

    Amir Abdollahian: Marekani ndio chanzo cha kuvurugika uthabiti Afghanistan

    Sep 13, 2021 23:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani imechangia pakubwa katika kuvurugika amani na uthabiti nchini Afghanistan.

  • Maandamano dhidi ya Pakistan mjini Kabul, Afghanistan

    Maandamano dhidi ya Pakistan mjini Kabul, Afghanistan

    Sep 13, 2021 20:59

    Idadi kubwa ya wananchi wa Kabul mji mkuu wa Afghanistan wamekusanyika mbele ya ubalozi wa Pakistan wakiitaka Islamabad iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Kukiri Biden kushindwa Marekani kukabiliana na al Qaida; kufeli vita vya kimataifa dhidi ya ugaidi

    Sep 13, 2021 07:37

    Rais wa Marekani, Joe Biden, siku ya Jumamosi na pembeni mwa sherehe za mwaka wa 20 wa tangu kutokea mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani, alikiri kwamba yumkini kundi la kigaidi la al Qaida likarejea tena Afghanistan na kusisitiza kuwa, Washington haiwezi kupeleka wanajeshi kila sehemu ilipo al Qaida.

  • Wanawake nchini Afghanistan waunga mkono Hijabu na Taliban

    Wanawake nchini Afghanistan waunga mkono Hijabu na Taliban

    Sep 10, 2021 08:12

    Mamia ya wanawake nchini Afghanistan wamekusanyika katika mkoa wa Kunduz kaskazini mwa nchi hiyo, ambapo sambamba na kutangaza uungaji mkono wao kwa Taliban wamesisitizia pia uvaaji wa vazi la stara la Kiislamu la Hijabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS