-
Rais Raisi: Mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana
Sep 09, 2021 03:17Rais Ebrahim Raisi amesema, mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuchungwa na kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana baina ya pande mbili.
-
Umoja wa Mataifa: Nusu ya raia wa Afghanistan wanahitajia misaada ya kibinadamu
Sep 08, 2021 11:49Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kibinadamu amesema kuwa, nusu ya wananchi wa Afghanistan wanahitajia misaada ya kibinadamu.
-
Amir-Abdollahian: Iran inataka Afghanistan isiyo na vita wala ugaidi
Sep 08, 2021 07:12Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran ametoa wito wa kuwepo Afghanistan isiyo na vita wala ugaidi.
-
Umoja wa Mataifa: Huduma muhimu nchini Afghanistan zimo katika hali ya kusambaratika
Sep 08, 2021 02:38Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya kibinadamu, (OCHA) imetangaza kuwa, mamilioni ya wananchi wa Afghanistan wanahitajia misaada ya chakula pamoja na huduma za kiafya.
-
China, Qatar na Uturuki zatajwa kuwa washirika wakuu wa Taliban katika kuijenga Afghanistan
Sep 07, 2021 08:06Msemaji wa kundi la Taliban amesema, China, Uturuki na Qatar ni washirika wakuu wa kundi hilo kwa ajili ya kuijenga upya Afghanistan.
-
Borrell: Afghanistan imedhihirisha mapungufu ya Umoja wa Ulaya
Sep 07, 2021 01:23Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa Afghanistan kwa kiasi kikubwa imeonyesha kuwa, mapungufu na kushindwa Umoja wa Ulaya kuchukua hatua kimataifa kuna gharama zake.
-
Mpango wa Taliban wa kubadilisha katiba ya Afghanistan
Sep 07, 2021 01:18Mmoja wa wanachama wa Baraza la Uongozi la Taliban amesema kuna tofauti kubwa kati ya mfumo wa siasa wa zamani na wa sasa wa kundi hilo na kwamba siasa mpya za kundi hilo haziwezi kulinganishwa hata kidogo na za zamani.
-
Qalibaf: Kuondoka kwa madhila Afghanistan, dalili ya kusambaratika US
Sep 06, 2021 03:04Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema hatua ya Marekani kuondoka kwa fedheha na madhila nchini Afghanistan imeonesha wazi kuwa Washington iko katika mkondo wa kusambaratika na kupoteza nguvu na ushawishi wake katika uga wa kimataifa.
-
Ahmad Masoud asisitiza kuendelea kupambana na kundi la Taliban
Sep 04, 2021 07:59Ahmad Masoud, Kiongozi wa Waafghanistan wanaolipinga kundi la Taliban ametoa mwito wa kuendelezwa mapambano dhidi ya kundi hilo.
-
Msimamo wa Pakistan kuhusu masharti ya msaada wa jamii ya kimataifa kwa Taliban huko Afghanistan
Sep 02, 2021 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema kuwa kundi la Taliban linaweza kupatiwa misaada ya kimataifa kwa sharti kwamba liheshimu vipengee mbalimbali vya haki za binadamu.