-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu tatizo kubwa wa chakula nchini Afghanistan
Sep 02, 2021 07:27Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na uhaba mkubwa chakula nchini Afghanistan na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuisaidia nchi hiyo.
-
EU: Kudhibitiwa Afghanistan na kundi la Taliban ni pigo kubwa kwa Magharibi
Sep 02, 2021 02:59Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema katika ujumbe wake kwa gazeti la New York Times kuwa, matukio ya Afghanistan na uamuzi wa Marekani wa kutoka nchini humo ni kengele ya hatari kwa bara la Ulaya.
-
Sisitizo la Biden la kufikia tamati enzi za Marekani za "Ujengaji Taifa kwa operesheni za kijeshi"
Sep 02, 2021 02:58Siku ya Jumanne ya tarehe 31 Agosti, Rais Joe Biden wa Marekani alitoa hotuba maalum kwa mnasaba wa kuondoka rasmi askari wa nchi hiyo katika ardhi ya Afghanistan, ambapo alikufananisha kuondoka katika nchi hiyo iliyoharibiwa na vita kuwa ni sawa na kufikia tamati enzi za kutumia operesheni za kijeshi kwa ajili ya kuzijenga nchi upya; na akasema:
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan haukuwa na matunda ghairi ya uharibifu
Sep 01, 2021 02:53Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa, uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan haukuwa na matunda yoyote ghairi ya kusababisha uharibifu mkubwa nchini humo.
-
Moscow: Tunataraji silaha za Wamarekani hazitatumika katika vita vya ndani Afghanistan
Aug 31, 2021 03:39Mjumbe Maalumu wa Rais wa Russia katika Masuala ya Afghanistan ameeleza wasiwasi wake kuhusu idadi kubwa ya silaha zililizoachwa na wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan na kusema kuwa kuna uwezekano Moscow ikashiriki katika kujenga upya uchumi wa nchi hiyo.
-
Kukaribia uundwaji wa serikali mpya ya Afghanistan
Aug 31, 2021 02:23Msemaji wa kundi la Taliban ametangaza kuwa, serikali mpya ya Afghanistan itaundwa katika kipindi cha wiki mbili zijazo.
-
Watoto ni miongoni mwa waliouawa katika shambulio la drone la Marekani Afghanistan
Aug 30, 2021 11:26Watoto wadogo ni miongoni mwa raia kadhaa waliouawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Kabul, mji mkuu wa Afghanistan.
-
Askari wa Marekani watuhumiwa kuua raia katika shambulio la Kabul
Aug 30, 2021 02:27Baadhi ya raia wa Afghanistan miongoni mwa makumi ya watu waliopoteza maisha katika mkanyagano na fujo lililotokea nje ya Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan baada ya kujiri miripuko ya mabomu Alkhamisi iliyopita, yumkini waliuawa na wanajeshi wa Marekani.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la uungaji mkono wa Iran kwa wananchi wa Afghanistan
Aug 29, 2021 09:46Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kuashiria mazingira ya sasa ya Afghanistan amesisitiza himaya na uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamuu ya Iran kwa wananchi wa nchi hiyo.
-
Baqeri: Marekani imeondoka Afghanistan baada ya kushindwa kwa fedheha
Aug 29, 2021 07:39Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani imeondoka nchini Afghanistan baada ya kushindwa kwa fedheha.