-
Iran imebadilisha changamoto, vitisho kuwa fursa zisizo na kifani
Mar 14, 2018 02:45Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema changamoto na vitisho vyote vya kigeni dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran vimebadilishwa na kuwa fursa zisizo na kifani.
-
Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui
May 26, 2016 16:37Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.
-
Baraza la Tano la Wanazuoni wa Kumchagua Kiongozi lazinduliwa kwa ujumbe wa Kiongozi Muadhamu
May 24, 2016 16:23Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema jukumu la Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa Kumchagua Kiongozi Mkuu ni kulinda kwa umakini na kwa hali zote utambulisho wa Kiislamu na Kimapinduzi wa Mfumo.