-
Iran: Hakuna kilichosimama nchini hapa baada ya Trump kujiondoa JCPOA
May 19, 2018 23:03Behrouz Kamalvandi, Msemaji wa Shirika la Nyuklia la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kuashiria sisitizo la Ulaya la kuendeleza ushirikiano wa kibiashara na Iran amesema kuwa, utendajikazi wa Ulaya hususan juu ya mapatano ya nyuklia ya Iran JCPOA unaendelea vizuri na kwamba hakuna kitu kilichosimama kwa sababu ya Marekani kujiondoa katika mapatano hayo.
-
Iran katu haitaruhusu vituo vyake vya kijeshi vikaguliwe
Jan 15, 2018 04:12Msemaji wa Shirika la Atomiki la Iran amesisitiza kuwa, "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu haitaruhusu vituo vyake vya kijeshi vikaguliwe na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA."
-
Iran kamwe haitaruhusu vituo vyake vya kijeshi kukaguliwa
Oct 29, 2017 04:22Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa kamwe haitaruhusu vituo vyake vya kijeshi vikaguliwe huku mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Atomiki IAEA akiwasili mjini Tehran.
-
Iran iko tayari kushirikiana kinyuklia na nchi za eneo
Dec 27, 2016 01:13Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema suala la nyuklia linaweza kuwa msingi wa ushirikiano kati ya Iran na nchi za eneo katika utumiaji wa teknolojia hiyo mpya kwa malengo ya amani.