Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Rais Rouhani: Jopo la uchunguzi wa ajali ya ndege ya Ukraine libuniwe

    Rais Rouhani: Jopo la uchunguzi wa ajali ya ndege ya Ukraine libuniwe

    Jan 14, 2020 12:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuundwa jopo maalumu la mahakama la kuchunguza ajali ya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176 siku chache zilizopita hapa jijini Tehran, sanjari na kuwafikisha mbele ya sheria wahusika wa ajali hiyo.

  • Takwa la asasi za kiraia za Canada la kusitishwa uuzaji silaha wa serikali ya Ottawa kwa Saudi Arabia

    Takwa la asasi za kiraia za Canada la kusitishwa uuzaji silaha wa serikali ya Ottawa kwa Saudi Arabia

    Aug 10, 2019 08:02

    Saudi Arabia ni mnunuzi mkubwa kabisa wa silaha za madola ya Magharibi na kwa mwaka hutumia mamilioni ya dola kwa ajili ya kununua silaha.

  • Jumuiya za kiraia Canada zaitaka serikali ya Ottawa iache kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Jumuiya za kiraia Canada zaitaka serikali ya Ottawa iache kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Aug 08, 2019 07:56

    Jumuiya 12 za kiraia nchini Canada zinamshinikiza Waziri Mkuu wa nchi hiyo Justin Trudeau ili asimamishe kuuuzia silaha utawala wa Saudi Arabia unaofanya jinai kila leo dhidi ya wananchi wa Yemen.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Agosti 2019

    Alkhamisi tarehe Mosi Agosti 2019

    Aug 01, 2019 02:54

    Leo ni Alkhamisi tarehe 29 Dhulqaada 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Agosti mwaka 2019.

  • Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki

    Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki

    Jul 25, 2019 06:56

    Matamshi yaliyotolewa nchini Canada na waziri mmoja wa serikali ya Misri ya kuwatisha wapinzani wa serikali ya rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo yamezusha taharuki miongoni mwa wananchi.

  • Waislamu Canada walaani matamshi ya waziri wa elimu wa Quebec ya kupiga vita Hijabu

    Waislamu Canada walaani matamshi ya waziri wa elimu wa Quebec ya kupiga vita Hijabu

    Feb 08, 2019 08:02

    Baraza la Taifa la Waislamu wa Canada limelaani matamshi ya waziri wa elimu na malezi wa jimbo la Quebec dhidi ya vazi la stara na staha la Kiislamu la Hijabu.

  • Canada yapinga kuundwa 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Canada yapinga kuundwa 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Feb 02, 2019 02:46

    Waziri Mkuu wa mkoa wa Quebec nchini Canada amepinga mwito wa kuundwa siku ya kitaifa ya kulaani jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

  • Canada yawawekea vikwazo raia 17 wa Saudia kwa kuhusika na mauji ya Khashoggi

    Canada yawawekea vikwazo raia 17 wa Saudia kwa kuhusika na mauji ya Khashoggi

    Nov 30, 2018 04:29

    Serikali ya Canada imewawekea vikwazo raia 17 wa Saudi Arabia kwa kuhusika katika mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiuokosoa utawala wa hivi sasa wa nchi hiyo.

  • Waislamu Canada wataka 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Waislamu Canada wataka 'Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu'

    Nov 23, 2018 07:52

    Waislamu nchini Canada wamesema jinai zinazotokana na chuki dhidi ya Uislamu zimeshtadi huku wakiitaka serikali izindue mpango mkakati wa kuziunganisha jamii za nchi hiyo.

  • Jumanne,  16 Oktoba, 2018

    Jumanne, 16 Oktoba, 2018

    Oct 16, 2018 02:39

    Leo ni Jumanne tarehe 6 Safar 1440 Hijria sawa na Oktoba 16, mwaka 2018.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS