Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa

    Rais wa Russia asema uhusiano wa nchi yake na China unaleta uthabiti katika uga wa kimataifa

    Dec 15, 2021 23:57

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, uratibu na mashauriano yanayofanywa baina ya nchi yake na China katika uga wa kimataifa umekuwa wenzo wa kupatikana uthabiti duniani.

  • China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    China: Kizoro cha dai la demokrasia kimefunuka, sura halisi ya Marekani imefichuka

    Dec 14, 2021 06:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani haiwezi tena sasa kuwababaisha na kuwapotosha watu.

  • Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Marekani yasusia kidiplomasia michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi nchini China

    Dec 09, 2021 01:14

    Jen Psaki Msemaji wa Ikulu ya White House alitangaza Jumatatu usiku kuwa, "serikali ya Joe Biden haitatuma mwakilishi rasmi au wa kidiplomasia katika michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi." Amedai kuwa sababu ya uamuzi huo wa serikali ya Marekani ni mauaji ya kimbari na jinai dhidi ya binadamu katika mkoa wa Xinjiang na vitendo vingine vya ukiukwaji wa haki za binadamu China.

  • New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran

    New York Post: Biden ni dhaifu, hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran

    Dec 08, 2021 10:56

    Gazeti la Marekani la New York Post limemtaja rais wa sasa wa nchi hiyo kuwa ni dhaifu na mwenye kutetereka na kwamba hawezi kukabiliana na Russia, China na Iran katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China

    Wamarekani wengi wana wasiwasi wa kutokea vita kati ya nchi yao na China

    Dec 02, 2021 03:38

    Uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa raia wengi wana hofu ya kutokea vita baina ya nchi hiyo na China katika miaka mitano ijayo.

  • Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Nov 27, 2021 09:02

    Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.

  • China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    Nov 11, 2021 06:16

    Rais Xi Jinping wa China ameonya kuhusu uwezekano wa kurejea mgogoro wa zama za Vita Baridi katika eneo la Asia Pasifiki huku hali ya taharuki ikiendelea kushuhudiwa baina ya Marekani na China kuhusu eneo la China Taipei.

  • China; changamoto kubwa zaidi ya Marekani ya 'jeostratijia'

    China; changamoto kubwa zaidi ya Marekani ya 'jeostratijia'

    Oct 29, 2021 05:14

    Mkuu wa majeshi ya Marekani, Mark Milley amesema kuwa, ametiwa wasiwasi na jaribio la hivi karibuni la kombora la kisasa la China linalozidi kasi ya sauti.

  • China yaitahadharisha Marekani kuhusu Taiwan, yamwambia Biden: Kaa chonjo

    China yaitahadharisha Marekani kuhusu Taiwan, yamwambia Biden: Kaa chonjo

    Oct 23, 2021 12:13

    Serikali ya China imejibu matamshi yaliyotolewsa majuzi na Rais Joe Biden wa Marekani kuhusu Taiwan na kumtaka awe na tahadhari zaidi. Beijing imesisitiza kuwa, haitalegeza kamba wala kufanya suluhu kuhusiana na masuala ya kimsingi kama mamlaka yake na mipaka ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Oct 17, 2021 04:37

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Watu wa China wamefanya mazungumzo ya simu na kusisitiza kuwa nchi mbili hizi zina azma ya kutekeleza 'Mapatano ya Miaka 25.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS