-
Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021
Sep 30, 2021 22:55Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.
-
Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China
Sep 19, 2021 02:46Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.
-
Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai
Sep 18, 2021 07:43Hatua ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) ya kuikubali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mwanachama kamili na wa kudumu ndani ya jumuiya hiyo kumetajwa kuwa ni azimio muhimu zaidi la jumuiya hiyo katika miaka ya karibuni. Huko nyuma Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai iliafiki uanachama kamili na wa kudumu wa India na Pakistan.
-
China yalaani muungano mpya wa kijeshi wa pande tatu za Marekani, Uingereza na Australia
Sep 17, 2021 03:24China imelaani ushirika mpya wa usalama wa kihistoria kati ya Marekani, Uingereza na Australia. Serikali ya Beijing imesema muungano huo una kile ilichokitaja kama maono yasiyofaa.
-
Mtaalamu wa jeni: Kuna uwezekano COVID-19 haikuanzia Wuhan, China
Sep 14, 2021 10:33Mtaalamu wa jeni amesema, kuna uwezekano kwamba ugonjwa wa COVID-19 haukuanzia katika mji wa Wuhan huko China.
-
Ripoti ya mashirika ya upelelezi ya Marekani kuhusu chanzo cha kirusi cha corona
Aug 28, 2021 22:21Mashirika ya upelelezi na ujasusi ya Marekan Ijumaa ya jana yalitangaza muhtasari wa uchunguzi wake kuhusu chanzo cha kirusi cha corona na ugonjwa wa COVID-19 na kutangaza kuwa, maafisa wa serikali ya China hwakuwa na habari yoyote kuhusu kirusi cha corona kabla ya kusambaa kwake duniani mwishoni mwa mwaka 2019.
-
Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa
Aug 19, 2021 04:31Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na wenzake wa Russia na China akisisitiza kuwa suala la kustawishwa na kuimarishwa uhusiano baina ya Tehran na nchi hizo mbili ni miongoni mwa vipaumbele vya serikali mpya ya Iran.
-
China imepinga wito wa WHO wa kufanyika uchunguzi zaidi kuhusu chanzo cha corona
Aug 13, 2021 19:30China imepinga wito wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wa kutaka kufanyike uchunguzi mpya kuhusu chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19.
-
Russia inapanga mazoezi ya kijeshi na China, Belarus
Aug 08, 2021 03:08Russia imepanga kufanya mazoezi mawili ya kijeshi mfululizo kwa kushirikiana na China na Belarus katika mipaka yake ya mashariki na magharibi ikijumuisha makumi ya maelfu ya wanajeshi wakati huu nchi hizo tatu zinahisi kuwa zinakabiliwa na tishio kutoka Marekani na muungano wa kijeshi wa NATO.
-
China na Russia zaanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia
Aug 07, 2021 03:21China na Russia zimeanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia.