-
Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi
Oct 16, 2021 22:56Hatua ya kampuni ya Apple ya Marekani ya kuondoa program ya Quran Majeed katika maduka yake nchini China imezua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.
-
Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan
Oct 14, 2021 09:28Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.
-
"Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"
Oct 11, 2021 23:03Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.
-
Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia
Oct 08, 2021 23:58Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.
-
Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) laanzisha kituo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na China
Oct 08, 2021 03:59Kitengo cha habari cha Shirika la Ujasusi la Marekani CIA kimeripoti kuwa, shirika hilo limeanzisha kituo maalumu kwa lengo la kukabiliana na kile lilichokiita "changamoto za dunia" zinazosababishwa na China.
-
Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo
Oct 07, 2021 21:09Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.
-
Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China
Oct 01, 2021 09:46Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.
-
Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021
Sep 30, 2021 22:55Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.
-
Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China
Sep 19, 2021 02:46Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.
-
Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai
Sep 18, 2021 07:43Hatua ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) ya kuikubali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mwanachama kamili na wa kudumu ndani ya jumuiya hiyo kumetajwa kuwa ni azimio muhimu zaidi la jumuiya hiyo katika miaka ya karibuni. Huko nyuma Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai iliafiki uanachama kamili na wa kudumu wa India na Pakistan.