Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi

    Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi

    Oct 16, 2021 22:56

    Hatua ya kampuni ya Apple ya Marekani ya kuondoa program ya Quran Majeed katika maduka yake nchini China imezua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.

  • Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Oct 14, 2021 09:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.

  • "Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"

    Oct 11, 2021 23:03

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) laanzisha kituo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na China

    Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) laanzisha kituo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na China

    Oct 08, 2021 03:59

    Kitengo cha habari cha Shirika la Ujasusi la Marekani CIA kimeripoti kuwa, shirika hilo limeanzisha kituo maalumu kwa lengo la kukabiliana na kile lilichokiita "changamoto za dunia" zinazosababishwa na China.

  • Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Biden akiri kuhusu kubaki nyuma uchumi wa Marekani; dalili ya kuporomoka nchi hiyo

    Oct 07, 2021 21:09

    Akizungumza karibuni katika jimbo la Michigan, Rais Joe Biden wa Marekani amesema nchi nyingine za dunia ziko mbioni kuishinda Marekani katika nyanja nyingi. Amesema licha ya kuwa Marekani bado inauongoza ulimwengu kiuchumi lakini inaendelea kupoteza taratibu nafasi yake hiyo.

  • Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Oct 01, 2021 09:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.

  • Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Sep 30, 2021 22:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.

  • Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Sep 19, 2021 02:46

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.

  • Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Sep 18, 2021 07:43

    Hatua ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) ya kuikubali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mwanachama kamili na wa kudumu ndani ya jumuiya hiyo kumetajwa kuwa ni azimio muhimu zaidi la jumuiya hiyo katika miaka ya karibuni. Huko nyuma Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai iliafiki uanachama kamili na wa kudumu wa India na Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS