Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Russia na China: Demokrasia ya Kimarekani itashadidisha makabiliano ya kiidiolojia

    Nov 27, 2021 09:02

    Mabalozi wa Russia na China nchini Marekani wamesema, kufanyika kongamano la demokrasia nchini humo kutashadidisha makabiliano ya kiidiolojia duniani.

  • China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    China yaonya kuhusu kurejea vita baridi eneo la Asia-Pasifiki

    Nov 11, 2021 06:16

    Rais Xi Jinping wa China ameonya kuhusu uwezekano wa kurejea mgogoro wa zama za Vita Baridi katika eneo la Asia Pasifiki huku hali ya taharuki ikiendelea kushuhudiwa baina ya Marekani na China kuhusu eneo la China Taipei.

  • China; changamoto kubwa zaidi ya Marekani ya 'jeostratijia'

    China; changamoto kubwa zaidi ya Marekani ya 'jeostratijia'

    Oct 29, 2021 05:14

    Mkuu wa majeshi ya Marekani, Mark Milley amesema kuwa, ametiwa wasiwasi na jaribio la hivi karibuni la kombora la kisasa la China linalozidi kasi ya sauti.

  • China yaitahadharisha Marekani kuhusu Taiwan, yamwambia Biden: Kaa chonjo

    China yaitahadharisha Marekani kuhusu Taiwan, yamwambia Biden: Kaa chonjo

    Oct 23, 2021 12:13

    Serikali ya China imejibu matamshi yaliyotolewsa majuzi na Rais Joe Biden wa Marekani kuhusu Taiwan na kumtaka awe na tahadhari zaidi. Beijing imesisitiza kuwa, haitalegeza kamba wala kufanya suluhu kuhusiana na masuala ya kimsingi kama mamlaka yake na mipaka ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Azma ya Iran na China ya kutekeleza Mapatano ya Miaka 25

    Oct 17, 2021 04:37

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Jamhuri ya Watu wa China wamefanya mazungumzo ya simu na kusisitiza kuwa nchi mbili hizi zina azma ya kutekeleza 'Mapatano ya Miaka 25.'

  • Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi

    Hatua ya Apple kuondoa programu ya Quran Majeed kwenye maduka yake Uchina yazua maswali mengi

    Oct 16, 2021 22:56

    Hatua ya kampuni ya Apple ya Marekani ya kuondoa program ya Quran Majeed katika maduka yake nchini China imezua maswali mengi juu ya malengo na sababu kitendo hicho.

  • Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Rais wa Russia: China haihitaji kutumia nguvu za kijeshi ili kuungana tena na Taiwan

    Oct 14, 2021 09:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, chaguo la kijeshi halihitajiki kuwa mbadala wa njia ya amani ili kuiwezesha China kuungana na Taiwan.

  • "Mgogoro wa Taiwan kuziingiza China na Marekani kwenye Vita vya Tatu vya Dunia"

    Oct 11, 2021 23:03

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Bunge la Russia amesema kuwa, ugomvi uliopo hivi sasa bina ya Marekani na China kuhusu Taiwan unaweza kuzusha mapigano ya kijeshi baina ya nchi hizo mbili na hata kupelekea kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) laanzisha kituo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na China

    Shirika la ujasusi la Marekani (CIA) laanzisha kituo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na China

    Oct 08, 2021 03:59

    Kitengo cha habari cha Shirika la Ujasusi la Marekani CIA kimeripoti kuwa, shirika hilo limeanzisha kituo maalumu kwa lengo la kukabiliana na kile lilichokiita "changamoto za dunia" zinazosababishwa na China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS