Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Ijumaa tarehe Mosi Oktoba 2021

    Sep 30, 2021 22:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba Mosi mwaka 2021.

  • Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China

    Sep 19, 2021 02:46

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.

  • Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Uanachama kamili na wa kudumu wa Iran katika Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Sep 18, 2021 07:43

    Hatua ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) ya kuikubali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama mwanachama kamili na wa kudumu ndani ya jumuiya hiyo kumetajwa kuwa ni azimio muhimu zaidi la jumuiya hiyo katika miaka ya karibuni. Huko nyuma Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai iliafiki uanachama kamili na wa kudumu wa India na Pakistan.

  • China yalaani muungano mpya wa kijeshi wa pande tatu za Marekani, Uingereza na Australia

    China yalaani muungano mpya wa kijeshi wa pande tatu za Marekani, Uingereza na Australia

    Sep 17, 2021 03:24

    China imelaani ushirika mpya wa usalama wa kihistoria kati ya Marekani, Uingereza na Australia. Serikali ya Beijing imesema muungano huo una kile ilichokitaja kama maono yasiyofaa.

  • Mtaalamu wa jeni: Kuna uwezekano COVID-19 haikuanzia Wuhan, China

    Mtaalamu wa jeni: Kuna uwezekano COVID-19 haikuanzia Wuhan, China

    Sep 14, 2021 10:33

    Mtaalamu wa jeni amesema, kuna uwezekano kwamba ugonjwa wa COVID-19 haukuanzia katika mji wa Wuhan huko China.

  • Ripoti ya mashirika ya upelelezi ya Marekani kuhusu chanzo cha kirusi cha corona

    Ripoti ya mashirika ya upelelezi ya Marekani kuhusu chanzo cha kirusi cha corona

    Aug 28, 2021 22:21

    Mashirika ya upelelezi na ujasusi ya Marekan Ijumaa ya jana yalitangaza muhtasari wa uchunguzi wake kuhusu chanzo cha kirusi cha corona na ugonjwa wa COVID-19 na kutangaza kuwa, maafisa wa serikali ya China hwakuwa na habari yoyote kuhusu kirusi cha corona kabla ya kusambaa kwake duniani mwishoni mwa mwaka 2019.

  • Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Aug 19, 2021 04:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na wenzake wa Russia na China akisisitiza kuwa suala la kustawishwa na kuimarishwa uhusiano baina ya Tehran na nchi hizo mbili ni miongoni mwa vipaumbele vya serikali mpya ya Iran.

  • China imepinga wito wa WHO wa kufanyika uchunguzi zaidi kuhusu chanzo cha corona

    China imepinga wito wa WHO wa kufanyika uchunguzi zaidi kuhusu chanzo cha corona

    Aug 13, 2021 19:30

    China imepinga wito wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wa kutaka kufanyike uchunguzi mpya kuhusu chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Russia inapanga mazoezi ya kijeshi na  China, Belarus

    Russia inapanga mazoezi ya kijeshi na China, Belarus

    Aug 08, 2021 03:08

    Russia imepanga kufanya mazoezi mawili ya kijeshi mfululizo kwa kushirikiana na China na Belarus katika mipaka yake ya mashariki na magharibi ikijumuisha makumi ya maelfu ya wanajeshi wakati huu nchi hizo tatu zinahisi kuwa zinakabiliwa na tishio kutoka Marekani na muungano wa kijeshi wa NATO.

  • China na Russia zaanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia

    China na Russia zaanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia

    Aug 07, 2021 03:21

    China na Russia zimeanza mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika eneo la Ningxia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS