Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran

    Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran

    Mar 17, 2020 23:39

    Kuendelea vikwazo vya Marekani vyenye wigo mpana na ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran ambavyo vilianza kutekelezwa baada ya Washington kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei 2018, ni hatua ambayo ilikabiliwa na malalamiko na ukosoaji mkubwa katika uga wa kimataifa ambapo hata washirika wa Ulaya wa Washington nao waliikosoa hatua hiyo isiyo ya kibinadamu.

  • China yaipongeza Iran kutokana na juhudi zake za kupambana na Corona

    China yaipongeza Iran kutokana na juhudi zake za kupambana na Corona

    Mar 14, 2020 23:00

    Rais Xi Jinping wa China katika ujumbe aliomtumia Rais Hassan Rouhani wa Iran amepongeza juhudi za kibinaadamu za Tehran katika kuwasaidia raia wa nchi yake walioathirika na virusi vya Corona.

  • Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

    Gavana wa jimbo la Ohio: Wakazi laki moja wa jimbo hili wamepatwa na virusi vya Corona

    Mar 13, 2020 13:20

    Gavana wa jimbo la Ohio nchini Marekani amesema kuwa ripoti za Idara ya Afya zinaonyesha kuwa, karibu asilimia moja ya wakazi wa jimbo hilo wameambukizwa virusi vya COVID-19 (Corona).

  • Mtaalamu wa China: Janga la virusi vya Corona vinaweza kumalizika mwezi Juni mwaka huu

    Mtaalamu wa China: Janga la virusi vya Corona vinaweza kumalizika mwezi Juni mwaka huu

    Mar 12, 2020 23:20

    Mshauri mwandamizi wa matibabu wa China amesema kuwa, ugonjwa wa virusi vya Corona ulimwengu unaweza kumalizika ifikapo Juni mwaka huu iwapo nchi zote zitaungana kupambana na virusi hivyo.

  • Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Upinzani wa mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 kwa msimamo wa IAEA kuhusu Iran

    Mar 05, 2020 22:54

    Ripoti ya mwisho kabisa ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kuhusiana na miradi ya nyuklia ya Iran, mbali na kudai kwamba Tehran haikuchunga mipaka iliyowekwa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, imetoa madai mengine mapya kuhusu Iran, mambo ambayo yamepingwa na mrengo wa Mashariki wa kundi la 4+1 ambao unaundwa na nchi mbili za Russia na China.

  • Waziri wa Afya: Mapambano ya Iran dhidi ya virusi vya Corona yatawashangaza walimwengu

    Waziri wa Afya: Mapambano ya Iran dhidi ya virusi vya Corona yatawashangaza walimwengu

    Feb 28, 2020 08:30

    Waziri wa Afya wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itaushangaza ulimwengu kutokana na mbinu yake ya kupambana na maambukizi ya virusi vya Corona.

  • Chanjo ya kula iliyotengezwa China yatoa tumaini la kudhibitiwa kikamilifu kirusi cha corona

    Chanjo ya kula iliyotengezwa China yatoa tumaini la kudhibitiwa kikamilifu kirusi cha corona

    Feb 26, 2020 09:23

    Wizara ya Afya ya China imetangaza kuwa, chanjo ya kula iliyotengezwa nchini humo imeongeza matumaini ya kudhibitiwa kikamilifu kirusi kipya cha corona cha COVID-19.

  • Naibu Waziri wa Afya wa Iran apatwa na Corona, asema nchi itashinda virusi hivyo wiki chache zijazo

    Naibu Waziri wa Afya wa Iran apatwa na Corona, asema nchi itashinda virusi hivyo wiki chache zijazo

    Feb 25, 2020 12:18

    Naibu Waziri wa Afya wa Iran amethibitisha kuwa amepatwa na virusi vya Corona lakini amesisitiza kuwa, nchi hii itashinda janga la virusi hivyo wiki chache zijazo.

  • Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Safari ya Pompeo katika nchi kadhaa za Afrika na hamaniko la Marekani la kukabiliana na washindani wake

    Feb 21, 2020 03:18

    Muelekeo wa madola ya Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima umekuwa wa kulikoloni, kulinyonya na kulipora utajiri wake bara hilo, pamoja na kuwakandamiza Waafrika wanaopigania nchi zo kuwa huru na kujitawala.

  • China mbioni kutibu wagonjwa wa COVID-19 (Corona),  vitanda vya hospitali vyaongezwa

    China mbioni kutibu wagonjwa wa COVID-19 (Corona), vitanda vya hospitali vyaongezwa

    Feb 20, 2020 08:55

    China imetangaza kuwa inafanya juhudi zote kuwatibu wagonjwa wa homa ya COVID-19 inayosababishwa na virusi vya Corona katika mji wa Wuhan ambao ndio kitovu cha mlipuko wa virusi hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS