Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Kamisheni ya Afya ya China yaripoti vifo vipya 136 vya maambukizo ya Corona

    Kamisheni ya Afya ya China yaripoti vifo vipya 136 vya maambukizo ya Corona

    Feb 20, 2020 00:54

    Kamisheni ya Afya ya Taifa ya China imetangaza habari ya kuaga dunia wagonjwa wapya 136 walioambukizwa virusi vya Corona nchini humo na hivyo kuifanya idadi kamili ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa huo kufikia 2,004 kote nchini humo.

  • China yasisitiza kuwa serikali ya Marekani ni ya kijasusi

    China yasisitiza kuwa serikali ya Marekani ni ya kijasusi

    Feb 18, 2020 23:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesisitiza serikali ya Marekani imesimama katika msingi wa ujasusi wa kimtandao duniani.

  • Waliofariki kwa virusi vya Corona China wapindukia 1,523, Misri yathibitisha mwathirika wa kwanza Afrika

    Waliofariki kwa virusi vya Corona China wapindukia 1,523, Misri yathibitisha mwathirika wa kwanza Afrika

    Feb 15, 2020 10:55

    Wizara ya Afya ya China imetangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kwa maambukizi ya virusi vya corona nchini humo imefikia 1,523.

  • 242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe

    242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe

    Feb 13, 2020 08:36

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na virusi vya Corona (COVID-19) nchini China imeongeza baada ya Jumatano ya jana kusajiliwa vifo vya wahanga 242 wa virusi hivyo katika siku moja tu katika mkoa wa Wuhan na maambikizi ya wengine elfu 15.

  • Mgogoro wa virusi vya Corona Duniani

    Mgogoro wa virusi vya Corona Duniani

    Feb 12, 2020 08:32

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi cha Makala ya Wiki ambacho leo kitatupia jicho mgogoro uliosababishwa na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kuua watu na kusambaa katika nchi mbalimbali duniani. Ni matarajio yangu kwamba ntakuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Corona yapewa jina jipya, walioaga dunia kwa virusi hivyo ni zaidi ya 1,100

    Corona yapewa jina jipya, walioaga dunia kwa virusi hivyo ni zaidi ya 1,100

    Feb 12, 2020 04:21

    Idadi ya watu waliofariki dunia nchini China kutokana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona imepindukia 1,113 huku maafisa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitangaza kuwa, kiwango cha maambukizi mapya bado hakijapungua.

  • Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 722, walioambukizwa waongezeka hadi 34,546

    Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 722, walioambukizwa waongezeka hadi 34,546

    Feb 08, 2020 10:30

    Idadi ya watu walioaga dunia nchini China kwa ugonjwa unaosababishwa na kirusi cha corona imeongezeka na kufikia 722 na walioambukizwa kirusi hicho hadi kufikia leo ni watu 34,546.

  • China yaishukuru Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya janga la Corona

    China yaishukuru Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya janga la Corona

    Feb 08, 2020 04:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona nchini humo.

  • Uchunguzi: Maambukizi ya virusi vya Corona yamepungua nchini China

    Uchunguzi: Maambukizi ya virusi vya Corona yamepungua nchini China

    Feb 06, 2020 21:40

    Uchunguzi uliofanywa na timu ya wataalamu na madaktari nchini China pamoja na takwimu rasmi zinaonyesha kuwa idadi ya waathirika na vifo vinavyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona, inaendelea kupungua.

  • Marekani yatumia vibaya virusi vya Corona, yasema ni fursa ya kuimarisha uchumi wake

    Marekani yatumia vibaya virusi vya Corona, yasema ni fursa ya kuimarisha uchumi wake

    Feb 04, 2020 03:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameikosoa Marekani akisema imekuwa ikieneza anga ya hofu na wasiwasi tangu virusi vya Corona vilipolipuka nchini humo na kuongeza kuwa, Washington haijatoa msaada wowote katika uwanja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS