-
Kamisheni ya Afya ya China yaripoti vifo vipya 136 vya maambukizo ya Corona
Feb 20, 2020 00:54Kamisheni ya Afya ya Taifa ya China imetangaza habari ya kuaga dunia wagonjwa wapya 136 walioambukizwa virusi vya Corona nchini humo na hivyo kuifanya idadi kamili ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa huo kufikia 2,004 kote nchini humo.
-
China yasisitiza kuwa serikali ya Marekani ni ya kijasusi
Feb 18, 2020 23:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesisitiza serikali ya Marekani imesimama katika msingi wa ujasusi wa kimtandao duniani.
-
Waliofariki kwa virusi vya Corona China wapindukia 1,523, Misri yathibitisha mwathirika wa kwanza Afrika
Feb 15, 2020 10:55Wizara ya Afya ya China imetangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki dunia kwa maambukizi ya virusi vya corona nchini humo imefikia 1,523.
-
242 waaga dunia China kwa Corona katika siku moja, maafisa wa afya Wuhan wafutwa kazi kwa uzembe
Feb 13, 2020 08:36Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na virusi vya Corona (COVID-19) nchini China imeongeza baada ya Jumatano ya jana kusajiliwa vifo vya wahanga 242 wa virusi hivyo katika siku moja tu katika mkoa wa Wuhan na maambikizi ya wengine elfu 15.
-
Mgogoro wa virusi vya Corona Duniani
Feb 12, 2020 08:32Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi cha Makala ya Wiki ambacho leo kitatupia jicho mgogoro uliosababishwa na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kuua watu na kusambaa katika nchi mbalimbali duniani. Ni matarajio yangu kwamba ntakuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.
-
Corona yapewa jina jipya, walioaga dunia kwa virusi hivyo ni zaidi ya 1,100
Feb 12, 2020 04:21Idadi ya watu waliofariki dunia nchini China kutokana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona imepindukia 1,113 huku maafisa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitangaza kuwa, kiwango cha maambukizi mapya bado hakijapungua.
-
Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 722, walioambukizwa waongezeka hadi 34,546
Feb 08, 2020 10:30Idadi ya watu walioaga dunia nchini China kwa ugonjwa unaosababishwa na kirusi cha corona imeongezeka na kufikia 722 na walioambukizwa kirusi hicho hadi kufikia leo ni watu 34,546.
-
China yaishukuru Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya janga la Corona
Feb 08, 2020 04:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona nchini humo.
-
Uchunguzi: Maambukizi ya virusi vya Corona yamepungua nchini China
Feb 06, 2020 21:40Uchunguzi uliofanywa na timu ya wataalamu na madaktari nchini China pamoja na takwimu rasmi zinaonyesha kuwa idadi ya waathirika na vifo vinavyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona, inaendelea kupungua.
-
Marekani yatumia vibaya virusi vya Corona, yasema ni fursa ya kuimarisha uchumi wake
Feb 04, 2020 03:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameikosoa Marekani akisema imekuwa ikieneza anga ya hofu na wasiwasi tangu virusi vya Corona vilipolipuka nchini humo na kuongeza kuwa, Washington haijatoa msaada wowote katika uwanja huo.