Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Kifo cha kwanza cha mgonjwa na virusi vya Corona nje ya China charipotiwa Ufilipino

    Kifo cha kwanza cha mgonjwa na virusi vya Corona nje ya China charipotiwa Ufilipino

    Feb 02, 2020 08:02

    Ufilipino imetangaza mapema leo Jumapili kwamba, imesajili kifo cha kwanza cha mtu aliyekuwa na virusi vya Corona nchini humo. Taarifa hiyo ya serikali ya Ufilipino imetolewa huku nchi mbalimbali duniani zikiwa katika pilikapilika na wasiwasi mkubwa kutokana na kasi ya kusambaa kirusi hicho hatari kinachoendelea kuua watu siku baada ya nyingine.

  • Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 259, walioathirika ni 11,791

    Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 259, walioathirika ni 11,791

    Feb 01, 2020 04:15

    Kamisheni ya Taifa ya Afya ya China imetangaza kuwa idadi ya watu waliofariki dunia nchini humo kutokana na virusi vya corona imefikia 259.

  • Shirika la ndege la Ethiopia limesitisha safari zake kuelekea China kufuatia mlipuko hatari wa virusi vya Corona

    Shirika la ndege la Ethiopia limesitisha safari zake kuelekea China kufuatia mlipuko hatari wa virusi vya Corona

    Jan 30, 2020 23:11

    Shirika la Ndege la Ethiopia jana lilisitisha safari zake zote nchini China kufuatia kuibuka mlipuko wa ugonjwa hatari wa virusi vya Corona ambao hadi sasa umeuwa watu wasiopungua 170.

  • Wakati China ikiunda kifaa cha kugundua haraka virusi vya Corona, Tanzania yatenga maeneo ya kuwatibu waathirika

    Wakati China ikiunda kifaa cha kugundua haraka virusi vya Corona, Tanzania yatenga maeneo ya kuwatibu waathirika

    Jan 29, 2020 12:21

    Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema kuwa mtu yeyote atakayepata virusi vya Corona nchi humo, atatibiwa katika maeneo yaliyotengwa ya mikoa mitatu ya Kilimanjaro, Dar es Salaam na Mwanza. 

  • Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Kirusi cha Corona chafika Imarati, Taiwan na Sudan, idadi ya waliofariki dunia inaongezeka

    Jan 29, 2020 10:45

    Kirusi hatari cha Corona kimeripotiwa kufika katika nchi za Imarati na Taiwan huku idadi ya watu wanaofariki dunia na kuambukizwa kirusi hicho ikiongezeka kwa kasi.

  • Kirusi cha Corona chasambaa katika nchi zaidi ya 15, waliofariki China sasa wafika 132

    Kirusi cha Corona chasambaa katika nchi zaidi ya 15, waliofariki China sasa wafika 132

    Jan 29, 2020 04:33

    Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kirusi cha Corona nchini China imeongezeka na kufikia 132.

  • Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inalenga kupanua wigo wa makabiliano na Russia, China

    Jan 29, 2020 03:10

    Katika zama za utawala wa Rais Donlad Trump, Marekani imekithirisha makabiliano na Russia na China ambazo ni washindani wake wakuu katika uga wa kimataifa. Sera hiyo ya utawala wa Trump ilitiliwa mkazo katika Waraka wa Kistratijia wa Usalama wa Taifa la Marekani mwaka 2018.

  • Serikali ya China: Virusi vya Corona vimeuwa watu 106 hadi sasa, kesi mpya 1,771 zimeripotiwa

    Serikali ya China: Virusi vya Corona vimeuwa watu 106 hadi sasa, kesi mpya 1,771 zimeripotiwa

    Jan 28, 2020 04:08

    China imeripoti kuaga dunia watu wengine kadhaa na kuongezeka idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona huku wanasayansi wakijaribu kukielewa kirusi hicho kipya na namna kinavyoenea.

  • WHO: Kuna uwezekano wa kuongezeka maambukizi ya kirusi cha Corona huko China

    WHO: Kuna uwezekano wa kuongezeka maambukizi ya kirusi cha Corona huko China

    Jan 24, 2020 23:42

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, kuna uwezekano kesi za maambukizo ya kirusi cha Corona zikaongezeka huko China na kwamba ni mapema mno kutathmini makali ya maambukizo hayo.

  • Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Nchi za Afrika zachukua tahadhari ya kukabiliana na virusi vya Corona

    Jan 24, 2020 11:26

    Nchi za Afrika mashariki zimetangaza hatua na mipango ya kukabiliana na virusi vya Corona vinavyosababisha maradhi ya kupumua huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mlipuko wa virusi hivyo nchini China ikiongezeka na kufikia 26.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS