Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Mgogoro wa virusi vya Corona Duniani

    Mgogoro wa virusi vya Corona Duniani

    Feb 12, 2020 08:32

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika kipindi cha Makala ya Wiki ambacho leo kitatupia jicho mgogoro uliosababishwa na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kuua watu na kusambaa katika nchi mbalimbali duniani. Ni matarajio yangu kwamba ntakuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Corona yapewa jina jipya, walioaga dunia kwa virusi hivyo ni zaidi ya 1,100

    Corona yapewa jina jipya, walioaga dunia kwa virusi hivyo ni zaidi ya 1,100

    Feb 12, 2020 04:21

    Idadi ya watu waliofariki dunia nchini China kutokana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona imepindukia 1,113 huku maafisa wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wakitangaza kuwa, kiwango cha maambukizi mapya bado hakijapungua.

  • Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 722, walioambukizwa waongezeka hadi 34,546

    Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 722, walioambukizwa waongezeka hadi 34,546

    Feb 08, 2020 10:30

    Idadi ya watu walioaga dunia nchini China kwa ugonjwa unaosababishwa na kirusi cha corona imeongezeka na kufikia 722 na walioambukizwa kirusi hicho hadi kufikia leo ni watu 34,546.

  • China yaishukuru Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya janga la Corona

    China yaishukuru Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya janga la Corona

    Feb 08, 2020 04:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kutuma misaada ya kitiba kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya Corona nchini humo.

  • Uchunguzi: Maambukizi ya virusi vya Corona yamepungua nchini China

    Uchunguzi: Maambukizi ya virusi vya Corona yamepungua nchini China

    Feb 06, 2020 21:40

    Uchunguzi uliofanywa na timu ya wataalamu na madaktari nchini China pamoja na takwimu rasmi zinaonyesha kuwa idadi ya waathirika na vifo vinavyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona, inaendelea kupungua.

  • Marekani yatumia vibaya virusi vya Corona, yasema ni fursa ya kuimarisha uchumi wake

    Marekani yatumia vibaya virusi vya Corona, yasema ni fursa ya kuimarisha uchumi wake

    Feb 04, 2020 03:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameikosoa Marekani akisema imekuwa ikieneza anga ya hofu na wasiwasi tangu virusi vya Corona vilipolipuka nchini humo na kuongeza kuwa, Washington haijatoa msaada wowote katika uwanja huo.

  • Kifo cha kwanza cha mgonjwa na virusi vya Corona nje ya China charipotiwa Ufilipino

    Kifo cha kwanza cha mgonjwa na virusi vya Corona nje ya China charipotiwa Ufilipino

    Feb 02, 2020 08:02

    Ufilipino imetangaza mapema leo Jumapili kwamba, imesajili kifo cha kwanza cha mtu aliyekuwa na virusi vya Corona nchini humo. Taarifa hiyo ya serikali ya Ufilipino imetolewa huku nchi mbalimbali duniani zikiwa katika pilikapilika na wasiwasi mkubwa kutokana na kasi ya kusambaa kirusi hicho hatari kinachoendelea kuua watu siku baada ya nyingine.

  • Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 259, walioathirika ni 11,791

    Waliofariki kwa virusi vya corona China wafikia 259, walioathirika ni 11,791

    Feb 01, 2020 04:15

    Kamisheni ya Taifa ya Afya ya China imetangaza kuwa idadi ya watu waliofariki dunia nchini humo kutokana na virusi vya corona imefikia 259.

  • Shirika la ndege la Ethiopia limesitisha safari zake kuelekea China kufuatia mlipuko hatari wa virusi vya Corona

    Shirika la ndege la Ethiopia limesitisha safari zake kuelekea China kufuatia mlipuko hatari wa virusi vya Corona

    Jan 30, 2020 23:11

    Shirika la Ndege la Ethiopia jana lilisitisha safari zake zote nchini China kufuatia kuibuka mlipuko wa ugonjwa hatari wa virusi vya Corona ambao hadi sasa umeuwa watu wasiopungua 170.

  • Wakati China ikiunda kifaa cha kugundua haraka virusi vya Corona, Tanzania yatenga maeneo ya kuwatibu waathirika

    Wakati China ikiunda kifaa cha kugundua haraka virusi vya Corona, Tanzania yatenga maeneo ya kuwatibu waathirika

    Jan 29, 2020 12:21

    Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto nchini Tanzania, Ummy Mwalimu amesema kuwa mtu yeyote atakayepata virusi vya Corona nchi humo, atatibiwa katika maeneo yaliyotengwa ya mikoa mitatu ya Kilimanjaro, Dar es Salaam na Mwanza. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS