-
Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam
May 11, 2018 23:46Uchaguzi wa nne wa bunge unafanyika nchini Iraq hii leo tangu ulipoangushwa utawala wa kidikteta wa Saddam mwaka 2003 na wa kwanza baada ya kusambaratishwa na kutokomezwa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) katika nchi hiyo.
-
Wanawake waliojiunga na kundi la kigaidi ISIS wafungwa jela Iran
May 06, 2018 23:07Wanawake 16 waliokuwa wamejiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh wamehukumiwa vifungo jela nchini Iran.
-
Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh
Apr 30, 2018 23:42Duru kutoka Iraq zimearifu kuwa wapiganaji wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi wamewaua magaidi kadhaa wa kundi la kitakfiri la Daesh katika mashambulizi waliyofanya katika eneo moja katika mpaka wa Iraq na Syria.
-
Kufichuliwa ushirikiano wa serikali ya Ufaransa na kundi la kigaidi la ISIS
Apr 25, 2018 22:12Hivi karibuni kulisambaa ripoti kuhusu ushirikiano baina ya serikali ya Ufaransa na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh) ambapo mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Lafarge la kutengeneza seruji alisema: "Tuliitaarifu serikali ya Ufaransa kuhusu malipo ya fedha kwa magaidi wa ISIS".
-
Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu
Apr 20, 2018 09:03Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.
-
Gaidi wa Daesh aliyekuwa akichapa bakora na kunyonga watu Syria, anaswa nchini Uturuki akitoroka
Apr 12, 2018 23:48Vyombo vya usalama nchini Uturuki vimetangaza kwamba, vimefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) aliyekuwa maarufu kwa kuchapa watu bakora na kutoa hukumu za kunyongwa idadi kubwa ya watu katika mji wa Raqqa nchini Syria.
-
Jeshi la Misri laua magaidi wanne Rasi ya Sinai
Apr 08, 2018 22:08Jeshi la Misri linasema limewaua magaidi wane na kuwakamata wengine wengi katika oparesheni maalumu za kuwatimua magaidi walio katika eneo la Rasi ya Sinai.
-
Russia: Genge la Daesh (ISIS) linaunda ngome mpya nchini Afghanistan na Afrika
Apr 05, 2018 02:59Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linaanzisha kambi mpya katika maeneo mengine hususan Afghanistan, baada ya kupata pigo kali kutoka kwa muungano wa Iran na Russia wa kupambana na magaidi nchini Syria.
-
Boroujerdi: Mipango ya Marekani Mashariki ya Kati imeshindwa kwa hima ya Iran
Mar 22, 2018 23:48Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa,mipango na njama za Marekani katika Mashariki ya Kati imeshindwa kwa hima na juhudi za Iran.
-
Makumi wauawa katika shambulizi la Daesh mjini Kabul, Afghanistan
Mar 21, 2018 10:33Kwa akali watu 29 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika shambulizi la kigaidi la Daesh (ISIS) lililolenga mkusanyiko wa watu waliokuwa wakiadhimisha sikukuu ya Nowruz, kuanza mwaka mpya wa 1397 Hijria Shamsia, katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.