Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Ripoti: Kwa akali watoto wa Kiyazidi 120 bado wanashikiliwa na magaidi wa Daesh huko Syria

    Ripoti: Kwa akali watoto wa Kiyazidi 120 bado wanashikiliwa na magaidi wa Daesh huko Syria

    Mar 20, 2018 01:02

    Fayhan al-Dakhil, mwakilishi wa kabila la Yazidi katika bunge la Iraq amesema kuwa, kwa akali watoto 120 walio na umri kati ya miaka 10-13, bado wanaendelea kushikiliwa na wanachama wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria.

  • Iran ina ushahidi kuhusu uhusiano wa Marekani na Daesh (ISIS)

    Iran ina ushahidi kuhusu uhusiano wa Marekani na Daesh (ISIS)

    Mar 04, 2018 04:30

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema vyombo vya usalama vya Iran vina ithibati kuhusu uhusiano kati ya Marekani na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Mmarekani ashitakiwa kwa kujaribu kujiunga na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Mmarekani ashitakiwa kwa kujaribu kujiunga na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Feb 28, 2018 04:11

    Mkazi mmoja wa jimbo la California nchini Marekani amepandishwa kizimbani baada ya kukamatwa akijaribu kusafiri nchini Libya kwenda kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Silaha za Israel zapatikana katika ngome za ISIS (Daesh) Syria

    Silaha za Israel zapatikana katika ngome za ISIS (Daesh) Syria

    Feb 27, 2018 22:02

    Vyombo vya habari nchini Syria vimerusha kanda ya video inayoonyesha silaha zilizotengenezewa Israel, katika maeneo yaliyokombolewa hivi karibuni kutoka kwenye makucha ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), mkoani Dayr al-Zawr.

  • Iraq yakataa ombi la Riyadh la kuikabidhi mamia ya 'magaidi' wa Saudia

    Iraq yakataa ombi la Riyadh la kuikabidhi mamia ya 'magaidi' wa Saudia

    Feb 25, 2018 23:10

    Iraq imekataa ombi la Riyadh la kuikabidhi zaidi ya raia 400 wa Saudi Arabia waliohukumiwa vifungo mbalimbali baada ya kupatikana na hatia za kufanya vitendo vya ugaidi nchini Iraq.

  • Magaidi wa ISIS waua watu 14 katika hujuma, Aden, Yemen

    Magaidi wa ISIS waua watu 14 katika hujuma, Aden, Yemen

    Feb 25, 2018 04:11

    Maagaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS au Daesh wamehujumu kituo cha polisi katika mji wa bandarini wa Aden kusini mwa Yemen na kuuawa watu 14.

  • Zarif: Msingi wa kifikra, kifedha wa ISIS bado haujaangamizwa

    Zarif: Msingi wa kifikra, kifedha wa ISIS bado haujaangamizwa

    Feb 24, 2018 10:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msingi wa kifikra na kifedha wa kundi la magaidi wakufurishaji wa Daesh au ISIS ungalipo.

  • Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Feb 20, 2018 04:42

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amesema mshikamano wa wananchi wa nchi hiyo na wenzao wa Syria ndio uliowezesha kuangamizwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika eneo.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Feb 18, 2018 12:56

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 27 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika

    Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika

    Feb 17, 2018 00:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ameonya kuwa magaidi wa Daesh (ISIS) waliosafishwa huko Syria na Iraq wanafanya kila wawezalo kuzivamia nchi za kaskazini mwa Afrika hususan Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS