Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Kundi la kigaidi la DAESH laua raia wengine kadhaa wasio na ulinzi wa Iraq mkoani Diyala

    Kundi la kigaidi la DAESH laua raia wengine kadhaa wasio na ulinzi wa Iraq mkoani Diyala

    Oct 27, 2021 13:01

    Duru za usalama za Iraq zimetangaza kuwa, magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) wameshambulio kijiji kimoja mkoani Diala na kuwaua na kuwajeruhi raia kadhaa wasio na ulinzi.

  • DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    DAESH lakiri kuhusika na hujuma ya kuripua kinu cha umeme mjini Kabul, Afghanistan

    Oct 23, 2021 07:48

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limekiri kuwa ndilo lililohusika na shambulio la kinu kikuu kinachozalisha umeme katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan na juhudi za kurejesha uthabiti nchini humo

    Oct 22, 2021 13:06

    Kikao cha Moscow kuhusu Afghanistan kilifanyika siku ya Jumatano ya tarehe 20 Oktoba kwa uwenyekiti wa Russia katika mji mkuu huo wa nchi hiyo.

  • Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kuhamishiwa ugaidi nchini Afghanistan

    Oct 15, 2021 09:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema magaidi wanahamishwa kutoka Iraq na Syria na kupelekwa Afghanistan jambo ambalo amesisitiza kuwa linahatarisha usalama wa nchi za Umoja wa Sovieti ya zamani.

  • Magaidi wanne wa ISIS wauawa nchini Sudan

    Magaidi wanne wa ISIS wauawa nchini Sudan

    Oct 05, 2021 10:46

    Shirika la kijasusi la Sudan limetoa taarifa na kusema kuwa, wanachama wanne wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) wameuawa nchini humo.

  • Maajenti watano wa Intelijinsia Sudan wauawa katika mapigano na Daesh

    Maajenti watano wa Intelijinsia Sudan wauawa katika mapigano na Daesh

    Sep 29, 2021 08:03

    Idara ya Intelijinsia ya Sudan imetangaza kuwa maajenti wake watano wameuawa na mmoja kujeruhiwa katika shambulio la kuvizia lililoilenga seli ya kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la Jebra huko Khartoum mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Wanajeshi 20 wa Nigeria wauawa na Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi

    Sep 26, 2021 08:03

    Kwa akali wanajeshi 20 wa Nigeria wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika baada ya kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Je, kuongezeka ugaidi wa Daesh nchini Iraq ni kujikarabati kundi hilo au ni njama mpya ya Marekani?

    Je, kuongezeka ugaidi wa Daesh nchini Iraq ni kujikarabati kundi hilo au ni njama mpya ya Marekani?

    Sep 24, 2021 09:58

    Tangu mwanzo wa mwezi huu, magaidi wa Daesh wametekeleza operesheni 16 za ugaidi katika mikoa ya Iraq ya Kirkuk, Swalah ad-Deen na Diyala, ambapo watu zaidi ya 45 wameuawa na kujeruhiwa.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu kuenea ugaidi barani Afrika

    Jul 25, 2021 08:26

    Katika ripoti yao mpya, wataalamu wa Umoja wa Mataifa wanasema kuwa bara la Afrika limekuwa muhanga mkuu wa ugaidi katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2021 kutokana na kuenea makundi ya kigaidi kama Daesh na al-Qaida na makund mengine yaliyo chini ya udhibiti na ushawishi wa makundi hayo mawili.

  • Hizbullah Iraq: Wanajeshi wa Marekani wanapaswa kuondoka kwenye ardhi ya Iraq, la sivyo watashambuliwa

    Hizbullah Iraq: Wanajeshi wa Marekani wanapaswa kuondoka kwenye ardhi ya Iraq, la sivyo watashambuliwa

    Jul 24, 2021 11:55

    Afisa usalama wa Batalioni ya Hizbullah nchini Iraq ametangaza kuwa, iwapo wanajeshi wa Marekani hawataondoka nchini Iraq, makundi ya mapambano yataendelea kutekeleza mashambulizi dhidi ya wavamizi hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS