-
Mgongano wa maneno na vitendo vya seriakli ya Trump kuhusu Iran
Mar 15, 2025 22:48Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia mara kwa mara nia yake ya kufanya mazungumzo na Iran katika miezi ya kwanza ya muhula wake wa pili wa urais na hata kutuma barua kuhusiana na suala hilo kwa Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, lakini kivitendo amekuwa akitekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran na kuchukua hatua mpya katika uwanja huo kila siku.
-
Iran yachunguza barua ya Rais wa Marekani
Mar 13, 2025 23:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa baada ya tathmini na uchunguzi kamili wa barua ya Rais wa Marekani kwa Iran, uamuzi utachukuliwa kuhusu jinsi ya kujibu barua hiyo.
-
Jamaatul-Islami yaitahadharisha serikali ya Pakistan isihadaiwe na hila za Trump
Mar 11, 2025 23:07Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami Pakistan (JIP) ameihutubu serikali ya Islamabad akisema: Marekani si yenye kuitakia kheri katu Pakistan na haipasi kuridhia matakwa ya nchi hiyo.
-
The Guardian: Trump anajifanya tu mbabe lakini ni mtu dhaifu
Mar 09, 2025 07:53Gazerti la The Guardian la nchini Uingereza limeandika makala maalumu kuhusu misimamo dhaifu ya rais wa Marekani, Donald Trump katika masuala tofauti na kusema kuwa, ijapokuwa rais huyo anajifanya mbabe, lakini ni mtu dhaifu na vitisho vyake havina maana.
-
Trump na kukandamizwa uhuru wa kusema huko Marekani
Mar 08, 2025 00:53Gazeti la Marekani la Washington Post limeandika makala likiashiria amri za utendaji zilizotolewa na Rais wa Marekani, Donald Trump, tangu aingie madarakani na kusema: Wakosoaji wanamtuhumu kuwa anakandamiza sana uhuru wa kujieleza na kukiuka Katiba ya Marekani.
-
Kenya yaiamuru TikTok iondoe maudhui za kingono zinazowalenga watoto
Mar 07, 2025 03:47Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imeutaka mtandao wa kijamii wa China wa TikTok uondoe maudhui za kingono zinazowalenga na kuwaathiri watoto.
-
UN: Tuna wasiwasi kuhusu mwelekeo wa White House
Mar 03, 2025 23:29Kamishna wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameelezea wasiwasi wake kuhusu mabadiliko ya mwelekeo yanayofanyika nchini Marekani katika uwanja wa ndani na kimataifa.
-
Misaada ya kijeshi na silaha ambayo haijawahi kutolewa mfano wake ya serikali ya Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 03, 2025 23:28Sambamba na Marekani kukata misaada yake kwa Ukraine, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, siku ya Jumapili alitumia mamlaka ya dharura aliyonayo kisheria kupitisha mpango wa utoaji msaada wa shehena ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 4 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mazungumzo yaliyogubikwa na mvutano mkubwa kati ya Trump na Zelensky
Mar 01, 2025 10:06Viongozi wenye mielekeo ya Kimagharibi wa Ukraine waliipa mgongo Russia baada ya matukio ya mwaka 2014 na kuingia madarakani serikali kibaraka kwa Magharibi huko Ukraine kwa himaya na msaada wa pande zote wa nchi za magharibi hususan Marekani na Ulaya; na walitaka nchi hiyo kujiunga na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) na Umoja wa Ulaya (EU) na kukata uhusiano na Russia.
-
Zelenskyy akataa kuomba msamaha kwa Trump; Asema: "sikufanya lolote baya"
Mar 01, 2025 06:37Rais wa Ukraine amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani, Donald Trump katika Ikulu ya White House.