• Uzinduzi wa Stratijia ya Kitaifa ya Kupambana na Ugaidi wa Ndani nchini Marekani

    Uzinduzi wa Stratijia ya Kitaifa ya Kupambana na Ugaidi wa Ndani nchini Marekani

    Jun 16, 2021 23:07

    Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, Jumanne wiki hii ilizindua Stratijia ya Kitaifa ya Kupambana na Ugaidi wa Ndani (National Strategy for Countering Domestic Terrorism) ambayo imetayarishwa na Baraza la Usalama wa Taifa. Kwa mujibu wa hati hiyo, taasisi zote za utekelezaji ndani ya Marekani zinalazimika kupambana na aina mbalimbali za ugaidi wa ndani ya nchi hiyo.

  • Biden afuta amri ya Trump ya kuzifungia baadhi ya programu za China

    Biden afuta amri ya Trump ya kuzifungia baadhi ya programu za China

    Jun 10, 2021 02:20

    Ikulu ya Marekani, White House imetangaza kuwa, rais wa nchi hiyo, Joe Biden amefuta amri iliyokuwa imetolewa na rais aliyemtangulia, Donald Trump ya kuzifungia baadhi ya programu za simu za mkononi za China.

  • Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina

    Marekani sababu kuu ya jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapaletina

    May 12, 2021 21:47

    Gazeti la Marekani la Washington Post limeashiria mashambulio na jinai za hivi karibuni za utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) na kusema kuwa sio utawala huo tu ndio unazuia kufikiwa lengo lao tukufu la kuwa na nchi huru bali Marekani pia imekuwa na mchango mkubwa katika masaibu na matatizo ambayo yamewasibu kwa miongo kadhaa sasa.

  • Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Kufichuliwa mambo mapya kuhusiana na Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    May 10, 2021 05:00

    Jumamosi usiku, tovuti ya habari ya Yahoo News iliandika makala na ndani yake ilitoa taarifa mpya kuhusu operesheni ya jinai ya kinyama iliyofanywa na jeshi la kigaidi la Marekani ya kumuua shahidi aliyekuwa kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Luteni Jenerali Qassem Suleimani.

  • Mwaka wa tatu wa Marekani kujitoa katika mapatano ya JCPOA, juhudi nyingi zisizo na maana

    Mwaka wa tatu wa Marekani kujitoa katika mapatano ya JCPOA, juhudi nyingi zisizo na maana

    May 09, 2021 21:04

    Miaka mitatu iliyopita, Mei 8 2018, Donald Trump rais wa zamani wa Marekani aliiondoa rasmi nchi hiyo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA, kwa madai kwamba yalikuwa mapatano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa katika historia ya nchi hiyo.

  • Tahadhari ya Mwanasheria Mkuu wa Marekani Kuhusu ugaidi wa ndani ya nchi hiyo

    Tahadhari ya Mwanasheria Mkuu wa Marekani Kuhusu ugaidi wa ndani ya nchi hiyo

    May 06, 2021 05:44

    Mwanasheria mkuu wa Marekani Merrick Garland ametahadharisha kuhusu hatari inayoibuka kwa kasi ya ugaidi wa ndani ya nchi na amelitaka bunge la nchi hiyo, Kongresi, kutenga fedha zaidi kwa ajili ya kufanya utafiti kuhusu kadhia hiyo na pia kwa ajili ya kuwasaka na kuwafikisha kizimbani magaidi wa ndani ya nchi.

  • Kushindwa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Kushindwa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Mar 17, 2021 23:16

    Baada ya serikali ya Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani kutangaza kujitoa rasmi katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA mnao Mei 2018, serikali hiyo ilianza kutekeleza vikwazo vikali zaidi katika historia ya nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya mchakato wa kile kilichotajwa kuwa mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii.

  • Marekani na miundombinu yake iliyoatilika kwa ndani na kupenda kwake vita duniani

    Marekani na miundombinu yake iliyoatilika kwa ndani na kupenda kwake vita duniani

    Mar 05, 2021 23:24

    Baada ya kipindi cha vita baridi lakini zaidi baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani imeshadirisha siasa zake za kupenda vita na kuzusha machafuko duniani kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi. Hadi hivi sasa imeshatumia mamia ya mabilioni ya dola katika jambo hilo. Hiyo ni katika hali ambayo, wataalamu wa ndani ya Marekani wanakiri kwamba miundombinu muhimu ya nchi hiyo iko katika hali mahututi.

  • Newsweek: Marekani yumkini ikawa kituo kikuu cha kueneza fikra za kibaguzi

    Newsweek: Marekani yumkini ikawa kituo kikuu cha kueneza fikra za kibaguzi

    Mar 04, 2021 00:46

    Jarida la kila wiki la Newsweek la Marekkani limeandika kuwa, waitifaki wa serikali ya Washington wana wasiwasi kwamba yumkini fikra na mitazamo ya mirengo yenye misimamo mikali ya kulia ikasambaa pia katika nchi hizo kutoka Marekani.

  • Jumapili, 21 Februari, 2021

    Jumapili, 21 Februari, 2021

    Feb 20, 2021 23:10

    Leo ni Jumapili tarehe 9 Rajab 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 21 Februaria 2021 Miladia.