-
Trump azungumza kwa mara ya kwanza ya vyombo vya habari baada ya kuondoka White House, asema Biden ana matatizo ya kiakili
Feb 18, 2021 04:29Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amevishambulia vikali vyombo vya habari katika mazungumzo yake ya kwanza na vyombo vya habari baada ya kuondoka White House akimtuhumu rais wa sasa wa nchi hiyo, Joe Biden kuwa ana matatizo ya kiakili.
-
Hofu ya kushadidi matatizo ya kiuchumi na kijamii nchini Marekani
Feb 15, 2021 23:09Katika miaka ya hivi karibuni, hali ya kiafya na tiba nchini Marekani daima imekuwa ikizorota na kuvurugika zaidi.
-
Ripoti: Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Bashar Assad
Feb 15, 2021 07:25Naibu mshauri wa zamani wa Usalama wa Taifa wa Marekani amefichua kuwa, rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump alikuwa na mpango wa kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Rais Bashar Assad wa Syria.
-
Pelosi: Warepublican waliomuondoa Trump hatiani ni waoga
Feb 14, 2021 04:20Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani amewakosoa vikali Maseneta wa chama cha Republican waliopiga kura kumuondoa hatiani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Ripoti: Sera mbovu za Trump ziliua maelfu ya Wamarekani
Feb 11, 2021 09:04Sera mbovu na ghalati za utawala uliopita wa Donald Trump nchini Marekani zilipelekea mamia ya maelfu ya Wamarekani kupoteza maisha.
-
Kujiuzulu mawakili wa Trump kabla hajasailiwa bungeni
Jan 31, 2021 03:59Mawakili kadhaa wa timu inayomtetea Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wamejiuzulu kutoka timu hiyo ikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kusailiwa rais huyo wa zamani katika bunge la Seneti.
-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
Jan 26, 2021 08:25Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).
-
Seneta wa Republican mwenye ushawishi mkubwa: Marais wastaafu Wademocrat pia watakuja kusailiwa
Jan 24, 2021 10:18Mmoja wa Maseneta wa chama cha Republican wenye ushawishi mkubwa nchini Marekjani ameonya kuwa, "marais waliopita Wademocrat" pia wataweza kuja kusailiwa iikiwa Baraza la Seneti litaendelea na mpango wake wa kumsaili aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump.
-
Trump azidi kuandamwa na majanga, sasa BankUnited imemfungia hesabu zake zote
Jan 22, 2021 08:22BankUnited ya Florida huko Marekani imekata ushirikiano wake wote na rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump hatua ambayo inaonekana imetokana na magenge yake kuvamia Baraza la Congress Januari 6, 2021.
-
Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara
Jan 21, 2021 01:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.