• Haniya: Dalili za mgawanyiko zinaonekana wazi ndani ya utawala wa Kizayuni

    Haniya: Dalili za mgawanyiko zinaonekana wazi ndani ya utawala wa Kizayuni

    Jun 17, 2024 03:19

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema ishara zote zinaonesha kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, huku vita dhidi ya Wapalestina wasio na hatia vikiendelea katika Ukanda wa Gaza.

  • Kambi ya kijeshi ya Israel yateketea kwa moto baada ya kushambuliwa na HAMAS

    Kambi ya kijeshi ya Israel yateketea kwa moto baada ya kushambuliwa na HAMAS

    Jun 15, 2024 23:12

    Duru za habari zimetangaza kuwa, kambi moja ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni karibu na Ukanda wa Ghaza imeteketea kwa moto baada ya kushambuliwa na wanamapambano wa Izzuddin al Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Haniya: HAMAS haitasalimu amri, itaendeleza muqawama

    Jun 09, 2024 23:53

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama katu halitasalimu amri, bali litaendeleza mapambano yake kwa nguvu zote.

  • Harakati za muqawama wa Palestina: Hatutashiriki katika mazungumzo yoyote na utawala wa Kizayuni

    Harakati za muqawama wa Palestina: Hatutashiriki katika mazungumzo yoyote na utawala wa Kizayuni

    May 28, 2024 04:37

    Harakati za Mapambano za Palestina za Hamas na Jihadul Islami zimetangaza kuwa hazitashiriki tena kwenye mazungumzo yoyote baada ya utawala wa Kizayuni kushambulia kambi ya wakimbizi wa Kiaplestina katika mji wa Rafah.

  • Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video

    Al-Qassam: Tumeangamiza na kukamata mateka askari kadhaa wa Kizayuni + Video

    May 26, 2024 04:13

    Abu Obeida, Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametangaza kuwa, wapiganaji wa brigedi hizo wamekinasa kwa kukiwekea chambo chini ya handaki kikosi cha jeshi la Kizayuni na kufanikiwa kuwaangamiza, kuwajeruhi na kuwakamata mateka askari kadhaa wa jeshi hilo katika eneo la kambi ya Jabalia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas: Asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni wameuawa katika mashambulizi ya Israel

    Hamas: Asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni wameuawa katika mashambulizi ya Israel

    May 18, 2024 00:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza, ambao unakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari ya utawala huo, yameuwa asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni, ambao walikuwa wakishikiliwa na harakati hiyo ya muqawama tangu baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa mwezi Oktoba mwaka jana.

  • HAMAS: Mashambulio ya Israel yameua 70% ya mateka wa Kizayuni

    HAMAS: Mashambulio ya Israel yameua 70% ya mateka wa Kizayuni

    May 17, 2024 04:43

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mashambulizi ya utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, unaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu, yameua asilimia 70 ya mateka wa Kizayuni, ambao wanashikiliwa na harakati hiyo ya muqawama tangu ilipotekelezwa operesheni ya mwezi Oktoba ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Afisa wa Hamas: Muqawama wa Gaza umeweza kukabiliana kwa mafanikio na vita vya dunia

    Afisa wa Hamas: Muqawama wa Gaza umeweza kukabiliana kwa mafanikio na vita vya dunia

    May 11, 2024 23:06

    Sami Abu Zuhri, ambaye ni miongoni mwa viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), amesema kwamba Muqawama na mapambano ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kukabiliana na "vita vya kimataifa," na nchi zilizoifadhili Israel sasa zinaanza kusitisha uungaji mkono wao kwa utawala huo.

  • Askari wa Israel waendelea kuangamizwa na wanamuqawama Gaza

    Askari wa Israel waendelea kuangamizwa na wanamuqawama Gaza

    May 11, 2024 04:29

    Wanajeshi wengine watano wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza.

  • Askari 3 wa Israel waangamizwa katika shambulio la HAMAS

    Askari 3 wa Israel waangamizwa katika shambulio la HAMAS

    May 06, 2024 03:42

    Wanajeshi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.