Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    May 01, 2024 23:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametangaza kuwa kufuatia mkutano wa wawakilishi wa harakati za Palestina za Hamas na Fat'h mjini Beijing, pande mbili zimefikia makubaliano ya kujadili maridhiano ya kitaifa huko Palestina.

  • Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo barabara sana' la kusitisha vita Ghaza

    Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo barabara sana' la kusitisha vita Ghaza

    May 01, 2024 07:46

    Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken ameitolea wito Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ikubali pendekezo la makubaliano ya kusitisha mapigano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Miili ya makaburi ya umati Gaza ifanyiwe uchunguzi

    Hamas: Miili ya makaburi ya umati Gaza ifanyiwe uchunguzi

    Apr 26, 2024 23:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito wa kutumwa timu za uchunguzi ili kutambua miili iliyogunduliwa kwenye makaburi ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    Apr 14, 2024 07:41

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio lililofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu la kimaumbile na linalostahiki.

  • HAMAS: Kusitishwa vita kikamilifu ndio msingi wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni

    HAMAS: Kusitishwa vita kikamilifu ndio msingi wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni

    Apr 12, 2024 07:47

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, usitishaji vita wa kudumu ndio msingi mkuu wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya kuwarejesha makwao bila ya masharti yoyote Wapalestina waliolazimika kuyahama makazi yao na kuondoka kikamilifu vikosi vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.

  • Amir-Abdollahian: Israel imeongeza kasi ya kuporomoka kwake kwa kuwaua watoto na wajukuu wa kiongozi wa HAMAS

    Amir-Abdollahian: Israel imeongeza kasi ya kuporomoka kwake kwa kuwaua watoto na wajukuu wa kiongozi wa HAMAS

    Apr 11, 2024 04:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema mauaji ya hivi karibuni yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wanafamilia wa kiongozi wa Hamas yanaongeza kasi ya kuporomoka kusio na shaka kwa utawala huo.

  • HAMAS: Misimamo ya Israel imekwamisha mazungumzo ya Doha

    HAMAS: Misimamo ya Israel imekwamisha mazungumzo ya Doha

    Mar 29, 2024 08:29

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema mazungumzo ya kusimamisha vita katika Ukanda wa Gaza yamegonga mwamba huko Doha, mji mkuu wa Qatar kutokana na misimamo isiyoeleweka ya utawala haramu wa Israel.

  • Kiongozi Mkuu: Ghaza ndiyo mshindi mkuu kwenye medani ya vita na utawala wa Israel mwangamizaji wa kizazi

    Kiongozi Mkuu: Ghaza ndiyo mshindi mkuu kwenye medani ya vita na utawala wa Israel mwangamizaji wa kizazi

    Mar 29, 2024 00:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya Muqawama na watu wa Ghaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Israel mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Ghaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.

  • Marekani yaiwekea vikwazo GAZA NOW kwa tuhuma za kuchangisha fedha za kuisaidia HAMAS

    Marekani yaiwekea vikwazo GAZA NOW kwa tuhuma za kuchangisha fedha za kuisaidia HAMAS

    Mar 28, 2024 07:28

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeiwekea vikwazo tovuti ya mtandao ya GAZA NOW kwa madai ya kuchangisha misaada ya kifedha kwan ajili ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Haniya: Azimio la Baraza la Usalama linaonesha Israel imetengwa duniani

    Haniya: Azimio la Baraza la Usalama linaonesha Israel imetengwa duniani

    Mar 27, 2024 04:10

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umetengwa vibaya na dunia kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa; siku moja baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio la kutaka kusitishwa mara moja mapigano huko Gaza. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS