-
"Hakuna mwanachama wa HAMAS aliyekamatwa katika Hospitali ya al-Shifa"
Mar 22, 2024 08:16Afisa usalama wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepuuzilia mbali madai ya utawala haramu wa Israel kwamba makumi ya wanachama wa kundi hilo la mapambano ya Kiislamu wamekatwa na askari wa Kizayuni katika Hospitali ya al-Shifa katika Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Muqawama wa kupambana na Israel umevuka mipaka ya Ghaza
Mar 18, 2024 07:43Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakabiliwa na "safu pana zaidi" ya Muqawama iliyovuka mpaka wa Ukanda wa Ghaza.
-
AFP: Viongozi wa harakati za muqawama wamekutana kuratibu mashambulizi dhidi ya Israel
Mar 16, 2024 22:43Harakati ya Muqawama za Hamas, Jihad Islami, Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Palestina na harakati ya Ansarullah ya Yemen zimefanya mkutano kwa ajili ya kuratibu na kuweka mikakati ya pamoja ya kuliunga mkono na kulitetea taifa linalodhulumiwa la Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yakanusha madai ya kukubali pendekezo la usitishaji vita
Mar 13, 2024 04:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekadhibisha ripoti ya shirika la habari la al-Arabiya kwamba kundi hilo la muqawama limeafiki 'pendekezo la kimataifa' la usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Intelijensia ya Marekani: HAMAS itaendelea kutoa changamoto kwa Israel kwa "miaka kadhaa"
Mar 12, 2024 23:16Ripoti ya tathmini ya kiintelijensia iliyotolewa na Marekani imetilia shaka uwezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuifuta Hamas, harakati hiyo ya muqawama ya Palestina huenda ikatoa changamoto "ya muda mrefu" kwa miaka kadhaa kwa utawala huo ghasibu unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.
-
Msimamo wa Hamas kuhusu ukwamishaji wa utawala wa Kizayuni katika mazungumzo ya Cairo
Mar 09, 2024 23:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imejiondoka katika mazungumzo ya kusitisha vita mjini Cairo, ikiwa ni jibu lake kwa hatua za ukwamishaji za utawala wa Kizayuni.
-
HAMAS: Tume ya kimataifa isiyo na upendeleo ichunguze tuhuma za ukatili wa kingono wa Oktoba 7
Mar 09, 2024 03:52Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetaka "tume ya kimataifa ya uchunguzi isiyo na upendeleo" iundwe ili kuchunguza madai kwamba wapiganaji wake walihusika na ukatili wa kingono walipotekeleza Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Oktoba 7, 2023.
-
HAMAS: Israel imetibua juhudi zote za kusitisha vita Gaza
Mar 08, 2024 03:53Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala haramu wa Israel umevuruga jitihada zote za wapatanishi za kufikiwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS yaitoa maanani ripoti ya UN ya madai ya 'ukatili wa kingono' katika Operesheni ya Oktoba 7
Mar 06, 2024 00:08Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekanusha madai yaliyomo kwenye ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kwamba wapiganaji wa harakati hiyo ya muqawama wa Palestina walifanya "ukatili wa kingono" wakati wa operesheni ya mashambulio waliyotekeleza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel mnamo Oktoba 7, 2023.
-
Wanajihadi wa HAMAS wadhibiti ndege isiyo na rubani ya Israel
Mar 03, 2024 04:09Wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS wametangaza habari ya kutwaa na kudhibiti ndege isiyo na rubani ya Israel (droni), ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.