-
Masharti ya makundi ya muqawama ya Palestina kuhusu mazungumzo ya kusimamisha vita
Mar 01, 2024 23:36Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa ufafanuzi kuhusu masharti ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya kusimamisha vita na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Historia katu haitasahau hatua za fedheha za Biden
Feb 27, 2024 03:57Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema historia kamwe haiwezi kufuta hatua ya kufedhehesha ya utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani ya kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mauaji yake ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo
Feb 23, 2024 00:00Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na makundi ya muqawama ya Ukanda wa Gaza ilisitisha njama za Marekani za eti kulifinyanga eneo la Asia Magharibi na mustakabali wake.
-
HAMAS yasisitiza tena: Hakuna kubadilishana mateka bila ya usitishaji kamili wa vita
Feb 20, 2024 03:56Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa itakubali kutekeleza makubaliano ya kubadilishana mateka na utawala wa Kizayuni wa Israel, pale tu utawala huo ghasibu utakapokubali kusitisha vita kikamilifu na kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingizwa katika Ukanda wa Ghazza.
-
Mamlaka ya Palestina: Hamas ni sehemu muhimu ya medani ya siasa ya Palestina
Feb 19, 2024 22:53Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa, Harakati ya Mambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ni sehemu muhimu ya uwanja wa kisiasa wa Palestina.
-
Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita
Feb 17, 2024 23:30Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS yaiasa ICJ iibebeshe dhima Israel kwa jinai za kivita Gaza
Feb 17, 2024 08:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iuwajibishe utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai za kivita zinazofanywa na utawala huo pandikizi dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa
Feb 14, 2024 14:03Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia simulizi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu kwa nini Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa ilitekelezwa.
-
Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS
Feb 14, 2024 04:04Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).
-
HAMAS: 'Tunapitia' pendekezo jipya la kusimamisha vita Gaza
Jan 31, 2024 00:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama 'linadurusu' na kutathmini pendekezo jipya la usitishaji vita lakini amesisitiza kuwa, kipaumbele chake kwa sasa ni kuhitimisha uvamizi na kuondoka kikamilifu vikosi vamizi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.