• Masharti ya makundi ya muqawama ya Palestina kuhusu mazungumzo ya kusimamisha vita

    Masharti ya makundi ya muqawama ya Palestina kuhusu mazungumzo ya kusimamisha vita

    Mar 01, 2024 23:36

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa ufafanuzi kuhusu masharti ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya kusimamisha vita na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Historia katu haitasahau hatua za fedheha za Biden

    HAMAS: Historia katu haitasahau hatua za fedheha za Biden

    Feb 27, 2024 03:57

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema historia kamwe haiwezi kufuta hatua ya kufedhehesha ya utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani ya kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mauaji yake ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    Feb 23, 2024 00:00

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na makundi ya muqawama ya Ukanda wa Gaza ilisitisha njama za Marekani za eti kulifinyanga eneo la Asia Magharibi na mustakabali wake.

  • HAMAS yasisitiza tena: Hakuna kubadilishana mateka bila ya usitishaji kamili wa vita

    HAMAS yasisitiza tena: Hakuna kubadilishana mateka bila ya usitishaji kamili wa vita

    Feb 20, 2024 03:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa itakubali kutekeleza makubaliano ya kubadilishana mateka na utawala wa Kizayuni wa Israel, pale tu utawala huo ghasibu utakapokubali kusitisha vita kikamilifu na kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingizwa katika Ukanda wa Ghazza.

  • Mamlaka ya Palestina: Hamas ni sehemu muhimu ya medani ya siasa ya Palestina

    Mamlaka ya Palestina: Hamas ni sehemu muhimu ya medani ya siasa ya Palestina

    Feb 19, 2024 22:53

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa, Harakati ya Mambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ni sehemu muhimu ya uwanja wa kisiasa wa Palestina.

  • Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Kiongozi wa HAMAS: Israel inabeba dhima ya kukwama mazungumzo ya kusitisha vita

    Feb 17, 2024 23:30

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unawajibika kwa kushindwa kupiga hatua mazungumzo na kufikia makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yaiasa ICJ iibebeshe dhima Israel kwa jinai za kivita Gaza

    HAMAS yaiasa ICJ iibebeshe dhima Israel kwa jinai za kivita Gaza

    Feb 17, 2024 08:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) iuwajibishe utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na jinai za kivita zinazofanywa na utawala huo pandikizi dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa

    Simulizi ya Hamas kuhusu Kimbunga cha Al Aqsa

    Feb 14, 2024 14:03

    Hamjambo na karibuni katika Kipindi chetu wiki hii ambacho kitaangazia simulizi za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu kwa nini Oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa ilitekelezwa.

  • Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Feb 14, 2024 04:04

    Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • HAMAS: 'Tunapitia' pendekezo jipya la kusimamisha vita Gaza

    HAMAS: 'Tunapitia' pendekezo jipya la kusimamisha vita Gaza

    Jan 31, 2024 00:01

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kundi hilo la muqawama 'linadurusu' na kutathmini pendekezo jipya la usitishaji vita lakini amesisitiza kuwa, kipaumbele chake kwa sasa ni kuhitimisha uvamizi na kuondoka kikamilifu vikosi vamizi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.