Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Msimamo wa Hamas kuhusu ukwamishaji wa utawala wa Kizayuni katika mazungumzo ya Cairo

    Msimamo wa Hamas kuhusu ukwamishaji wa utawala wa Kizayuni katika mazungumzo ya Cairo

    Mar 09, 2024 23:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imejiondoka katika mazungumzo ya kusitisha vita mjini Cairo, ikiwa ni jibu lake kwa hatua za ukwamishaji za utawala wa Kizayuni.

  • HAMAS: Tume ya kimataifa isiyo na upendeleo ichunguze tuhuma za ukatili wa kingono wa Oktoba 7

    HAMAS: Tume ya kimataifa isiyo na upendeleo ichunguze tuhuma za ukatili wa kingono wa Oktoba 7

    Mar 09, 2024 03:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetaka "tume ya kimataifa ya uchunguzi isiyo na upendeleo" iundwe ili kuchunguza madai kwamba wapiganaji wake walihusika na ukatili wa kingono walipotekeleza Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Oktoba 7, 2023.

  • HAMAS: Israel imetibua juhudi zote za kusitisha vita Gaza

    HAMAS: Israel imetibua juhudi zote za kusitisha vita Gaza

    Mar 08, 2024 03:53

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala haramu wa Israel umevuruga jitihada zote za wapatanishi za kufikiwa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yaitoa maanani ripoti ya UN ya madai ya 'ukatili wa kingono' katika Operesheni ya Oktoba 7

    HAMAS yaitoa maanani ripoti ya UN ya madai ya 'ukatili wa kingono' katika Operesheni ya Oktoba 7

    Mar 06, 2024 00:08

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekanusha madai yaliyomo kwenye ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kwamba wapiganaji wa harakati hiyo ya muqawama wa Palestina walifanya "ukatili wa kingono" wakati wa operesheni ya mashambulio waliyotekeleza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel mnamo Oktoba 7, 2023.

  • Wanajihadi wa HAMAS wadhibiti ndege isiyo na rubani ya Israel

    Wanajihadi wa HAMAS wadhibiti ndege isiyo na rubani ya Israel

    Mar 03, 2024 04:09

    Wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS wametangaza habari ya kutwaa na kudhibiti ndege isiyo na rubani ya Israel (droni), ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Masharti ya makundi ya muqawama ya Palestina kuhusu mazungumzo ya kusimamisha vita

    Masharti ya makundi ya muqawama ya Palestina kuhusu mazungumzo ya kusimamisha vita

    Mar 01, 2024 23:36

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa ufafanuzi kuhusu masharti ya makundi ya muqawama katika mazungumzo ya kusimamisha vita na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Historia katu haitasahau hatua za fedheha za Biden

    HAMAS: Historia katu haitasahau hatua za fedheha za Biden

    Feb 27, 2024 03:57

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema historia kamwe haiwezi kufuta hatua ya kufedhehesha ya utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani ya kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mauaji yake ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    Feb 23, 2024 00:00

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na makundi ya muqawama ya Ukanda wa Gaza ilisitisha njama za Marekani za eti kulifinyanga eneo la Asia Magharibi na mustakabali wake.

  • HAMAS yasisitiza tena: Hakuna kubadilishana mateka bila ya usitishaji kamili wa vita

    HAMAS yasisitiza tena: Hakuna kubadilishana mateka bila ya usitishaji kamili wa vita

    Feb 20, 2024 03:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa itakubali kutekeleza makubaliano ya kubadilishana mateka na utawala wa Kizayuni wa Israel, pale tu utawala huo ghasibu utakapokubali kusitisha vita kikamilifu na kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingizwa katika Ukanda wa Ghazza.

  • Mamlaka ya Palestina: Hamas ni sehemu muhimu ya medani ya siasa ya Palestina

    Mamlaka ya Palestina: Hamas ni sehemu muhimu ya medani ya siasa ya Palestina

    Feb 19, 2024 22:53

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa, Harakati ya Mambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ni sehemu muhimu ya uwanja wa kisiasa wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS