Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Wazayuni wakiri kupata pigo; wasema: Israel haina uwezo wa kukabiliana na makombora ya Wapalestina

    Wazayuni wakiri kupata pigo; wasema: Israel haina uwezo wa kukabiliana na makombora ya Wapalestina

    May 16, 2023 10:49

    Majenerali wa jeshi la utawala wa Kizayuni wamekiri kupata pigo katika vita vya siku tano vilivyoisha Ijumaa iliyopita na kutangaza wazi kwamba, katika uvamizi wake wa hivi karibuni huko Ghaza, utawala wa Israel si tu haukupata mafanikio yoyote, lakini ngome ya ulinzi wa anga ya Israel imeshindwa kukabiliana na makombora ya muqawama wa Palestina.

  • Hamas yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hamas yakosoa kimya cha jamii ya kimataifa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 12, 2023 06:33

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko katika Ukanda wa Gaza kinauhamasisha utawala huo ghasibu kuzididisha mashambulizi yake dhidi ya raia wasio na hatia.

  • Hamas: Maonyo ya Sayyid Nasrullah ndiyo sababu kuu ya woga wa utawala wa Kizayuni

    Hamas: Maonyo ya Sayyid Nasrullah ndiyo sababu kuu ya woga wa utawala wa Kizayuni

    Apr 27, 2023 02:07

    Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, maonyo yanayotolewa na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ndiyo sababu kuu inayozuia mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    Apr 24, 2023 21:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, kamwe haitoruhusu damu za mashahidi zimwagike vivi hivi. Taarifa ya harakati hiyo imetolewa baada ya wanajeshi makatili wa Israel kumuua kigaidi kijana mwingine wa Kipalestina huko Ariha.

  • OIC yaalani vikali hujuma za Wazayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    OIC yaalani vikali hujuma za Wazayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    Apr 24, 2023 08:58

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani vikali mashambulizi ya Wazayuni katika eneo la Babul Rahma katika Msikiti Mtakatifu wa al Aqsa.

  • Hamas: Oparesheni ya Sheikh Jarrah ni jibu la kawaida kwa jinai za maghasibu

    Hamas: Oparesheni ya Sheikh Jarrah ni jibu la kawaida kwa jinai za maghasibu

    Apr 18, 2023 21:59

    Kufuatia oparesheni iliyofanywa jana huko Quds inayokaliwa kwa mabavu dhidi ya Wazayuni, msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema oparesheni hiyo ya Sheikh Jarrah ni jibu la kawaida kwa jinai zinazofanywa na Maghasibu wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.

  • Ujumbe wa Hamas uko Saudi Arabia kwa mazungumzo na serikali ya Riyadh

    Ujumbe wa Hamas uko Saudi Arabia kwa mazungumzo na serikali ya Riyadh

    Apr 18, 2023 08:40

    Ujumbe wa maafisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) uko nchini Saudi Arabia ikiwa ni safari yake ya kwanza nchini humo baada ya miaka kadhaa.

  • Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Hamas: Siku ya Quds inaukumbusha Umma majukumu yake ya kukomboa Msikiti wa al Aqsa

    Apr 14, 2023 08:14

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kutaka kuweko harakati ya kimataifa ili kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na kuhitimisha uvamizi na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.

  • HAMAS: Israel kuwafukuza waumini katika msikiti wa Al Aqsa ni sawa na kuanzisha vita vya kidini

    HAMAS: Israel kuwafukuza waumini katika msikiti wa Al Aqsa ni sawa na kuanzisha vita vya kidini

    Mar 28, 2023 07:54

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kuondolewa kwa nguvu waumini wa Kiislamu katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, ikisema kuwa hatua hiyo ni sawa na kutangaza vita vya kidini dhidi ya Wapalestina na ni jaribio la kubadilisha utambulisho wa Kiislamu wa eneo hilo takatifu.

  • HAMAS: Mapambano dhidi ya Israel yataendelea mpaka Aqsa ikombolewe

    HAMAS: Mapambano dhidi ya Israel yataendelea mpaka Aqsa ikombolewe

    Mar 25, 2023 03:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mapambano yao kwa kushirikiana na makundi mengine ya muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yataendelea hadi pale Msikiti wa al-Aqsa utakapokombolewa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS