Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS yaionya Israel dhidi ya kuhujumu Msikiti wa Aqsa wakati wa Ramadhani

    HAMAS yaionya Israel dhidi ya kuhujumu Msikiti wa Aqsa wakati wa Ramadhani

    Mar 15, 2023 06:52

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kuhujumu na kuuvamia Msikiti wa al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Mash'al: Kuanzisha uhusiano na Israel umeisababishia Palestina dhiki

    Mash'al: Kuanzisha uhusiano na Israel umeisababishia Palestina dhiki

    Mar 05, 2023 07:28

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) nje ya nchi ameyakosoa baadhi ya madola ya Kiarabu kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel na kusisitiza kuwa, ushirikiano na utawala huo wa Kizayuni haujakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuwasababishia Wapalestina dhiki na matatizo.

  • "Mkutano wa Aqaba unaipa Israel kibali cha kushadidisha jinai dhidi ya Wapalestina"

    Feb 27, 2023 06:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameashiria mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan na kusisitiza kuwa, kikao hicho cha Aqaba kinalenga kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel ridhaa ya kushadidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina.

  • HAMAS: Mielekeo ya Mamlaka ya Ndani ipo dhidi ya taifa la Palestina

    HAMAS: Mielekeo ya Mamlaka ya Ndani ipo dhidi ya taifa la Palestina

    Feb 21, 2023 03:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mapatano yaliyofikiwa karibuni baina ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala haramu wa Israel kwa mashinikizo ya Marekani ni usaliti kwa kambi ya muqawama ya Wapalestina.

  • Hamas yapongeza juhudi za Algeria na Afrika Kusini za kuifukuza Israel AU

    Hamas yapongeza juhudi za Algeria na Afrika Kusini za kuifukuza Israel AU

    Feb 16, 2023 04:27

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza juhudi zinazofanywa na nchi kama Afrika Kusini na Algeria za kuhakikisha utawala haramu wa Israel unapokonywa hadhi ya kuwa mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika (AU).

  • HAMAS: Njama za Marekani za kuisambaratisha Intifadha zitafeli

    HAMAS: Njama za Marekani za kuisambaratisha Intifadha zitafeli

    Feb 12, 2023 23:05

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu HAMAS amesema njama za Marekani za kutaka kuisambaratisha Intifadha ya Tatu ya Wapalestina dhidi utawala wa Kizayuni wa Israel zitagonga mwamba.

  • HAMAS yatwaa droni ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel

    HAMAS yatwaa droni ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel

    Jan 31, 2023 03:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanikiwa kutwaa ndege isiyo na rubani ya kijasusi ya utawala haramu wa Israel iliyokuwa ikiruka katika anga ya Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Jinai za kila uchao za Israel hazitapita hivi hivi

    HAMAS: Jinai za kila uchao za Israel hazitapita hivi hivi

    Jan 14, 2023 00:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) sambamba na kusema kuwa imesikitishwa na kitendo cha kuuawa shahidi vijana wawili wa Kipalestina na utawala haramu wa Israel, imeonya kuwa, jinai za kila uchao za utawala huo wa Kizayuni hazitapita hivi hivi.

  • Haniya: Wapalestina watashadidisha mapambano dhidi ya ujenzi haramu wa Israel

    Haniya: Wapalestina watashadidisha mapambano dhidi ya ujenzi haramu wa Israel

    Dec 29, 2022 09:06

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameionya Israel dhidi ya sera yake ya unyakuzi wa ardhi na kusisitiza kuwa, ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni utakabiliwa kwa nguvu kupitia muqawama.

  • Hamas: Maneva ya al Rakan al Shadid 3 ni dhihirisho la nguvu ya muqawama

    Hamas: Maneva ya al Rakan al Shadid 3 ni dhihirisho la nguvu ya muqawama

    Dec 29, 2022 04:39

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa maneva ya al Rakan al Shadid 3 yanayonesha nguvu ya muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS