Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas: Wapalestina hawataiacha Israel itekeleze njama zake

    Hamas: Wapalestina hawataiacha Israel itekeleze njama zake

    Dec 12, 2022 23:24

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Wapalestina katu hawatouruhusu utawala haramu wa Israel utekeleza njama na mipango yake michafu dhidi ya mji mtakatifu wa Quds na Masjidul Aqsa.

  • Hamas: Mpango wa wavamizi wa Kizayuni huko al Khalil utashindwa

    Hamas: Mpango wa wavamizi wa Kizayuni huko al Khalil utashindwa

    Nov 20, 2022 08:15

    Sambamba na kupongeza muqawama na mapambano ya wananchi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, msemaji wa harakati ya Hamas amesisitiza kuwa, juhudi za utawala wa Kizayuni za kuimarisha ujenzi wa vitongoji vya walowezi huko al Khalil hazitafanikiwa.

  • HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi

    HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi

    Nov 03, 2022 08:10

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema wananchi wa Palestina wataendeleza kwa nguvu zote jitihada na mapambano ya kulikomboa kikamilifu taifa lao kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS, Jihad Islami na Yemen zalaani shambulio la kigaidi nchini Iran

    HAMAS, Jihad Islami na Yemen zalaani shambulio la kigaidi nchini Iran

    Oct 29, 2022 00:51

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina na mamlaka za Yemen zimetoa taarifa za kulaani shambulio la kigaidi lililotokea siku ya Jumatano katika Haram Tukufu ya Shah Cheragh ya mjini Shiraz, kusini magharibi mwa Iran.

  • Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Marekani yaingiwa na wahaka kufuatia maridhiano ya Syria na HAMAS

    Oct 21, 2022 07:54

    Marekani imeonya kuwa itachukua hatua zaidi za 'kumtenga' Rais Bashari al-Assad wa Syria, jambo linaloashiria kuwa Washington imeingiwa na kiwewe kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Damascus kufikia maridhiano na Harakati ya Mapmbano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Hamas: Kuendelea kuhujumiwa al-Aqsa 'kutalipua' Asia Magharibi

    Hamas: Kuendelea kuhujumiwa al-Aqsa 'kutalipua' Asia Magharibi

    Sep 28, 2022 04:42

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani vikali hujuma na uvamizi unaoendelea wa wanajeshi wa Kizayuni na walowezi wa Kiyahudi dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS wawasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow

    Ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS wawasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow

    Sep 11, 2022 03:03

    Ujumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS umewasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

    Afisa wa Hamas: Ukingo wa Magharibi umekuwa kitovu cha muqawama

    Sep 06, 2022 23:27

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Jenin vimekuwa hifadhi na nguzo ya muqawama.

  • HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Aug 17, 2022 23:41

    Mousa Mohammed Abu Marzook, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

    HAMAS yapongeza misimamo ya waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya Israel

    Aug 13, 2022 03:48

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amepongeza msimamo thabiti ulioonyeshwa na waziri wa ulinzi wa Pakistan dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS