Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Abdollahian awapongeza wanamuqwama kwa kukabiliana na wanajeshi wa Kizayuni

    Abdollahian awapongeza wanamuqwama kwa kukabiliana na wanajeshi wa Kizayuni

    Aug 09, 2022 20:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwa mara nyingine tena wanajihadi za harakati za muqawama wa Palestina wameweza kusimama kidete mkabala wa nguvu kubwa za kijeshi za utawala wa Kizayuni, na hatimaye wakawalazimisha maadui kusalimu amri na kuafiki kusitisha vita.

  • Hamas yapinga misimamo ya Saudia ya kujikurubisha zaidi kwa wazayuni maghasibu

    Hamas yapinga misimamo ya Saudia ya kujikurubisha zaidi kwa wazayuni maghasibu

    Jul 15, 2022 22:25

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga vikali hatua ya Saudi Arabia ya kufungua anga ya nchi hiyo kwa ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Israel inapaswa kukabiliwa kwa jibu kali kwa kuishambulia Syria

    HAMAS: Israel inapaswa kukabiliwa kwa jibu kali kwa kuishambulia Syria

    Jul 03, 2022 03:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, utawala huo haramu unapaswa kukabiliwa kwa jibu kali kwa kuushambulia mji bandari wa Syria.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds

    Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds

    Jun 27, 2022 22:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.

  • Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa

    Jun 25, 2022 21:52

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mapambano na muqawama ungali unaongeza nguvu zake hadi ufike wakati wa kukombolewa Palestina iliyoanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Mediterania.

  • HAMAS: Israel iache kuchimba mashimo kwenye ua wa Msikiti wa Al-Aqsa

    HAMAS: Israel iache kuchimba mashimo kwenye ua wa Msikiti wa Al-Aqsa

    Jun 24, 2022 08:57

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaka utawala haramu wa Israel uache mara moja kitendo chake cha kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtatatifu wa al-Aqsa.

  • HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    May 04, 2022 07:22

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Wapalestina na kwamba Wazayuni hawapaswi kuuvuuka.

  • HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina kusimama imara kukabiliana na Wazayuni

    HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina kusimama imara kukabiliana na Wazayuni

    Apr 14, 2022 05:54

    Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema baada ya Wazayuni kuwaua shahidi vijana wanne wa Kipalestina kwamba wananchi wote wa Palestina wanapaswa kusimama imara kupambana kiume na Wazayuni.

  • HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuwababaisha Wapalestina

    HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuwababaisha Wapalestina

    Apr 13, 2022 03:07

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amejibu matamshi ya kifedhuli ya Waziri wa Vita wa Israel, Benny Gantz na kusisitiza kuwa: Vitisho kamwe haviwezi kuwababaisha na kuwashtua Wapalestina

  • Onyo la HAMAS kwa Israel baada ya kuwaua shahidi Wapalestina 3 Jenin

    Onyo la HAMAS kwa Israel baada ya kuwaua shahidi Wapalestina 3 Jenin

    Apr 03, 2022 03:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelionya vikali jeshi katili la utawala haramu wa Israel kwa kuwaua shahidi vijana watatu wa Kipalestina katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani huko Jenin.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS