-
Abdollahian awapongeza wanamuqwama kwa kukabiliana na wanajeshi wa Kizayuni
Aug 09, 2022 20:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwa mara nyingine tena wanajihadi za harakati za muqawama wa Palestina wameweza kusimama kidete mkabala wa nguvu kubwa za kijeshi za utawala wa Kizayuni, na hatimaye wakawalazimisha maadui kusalimu amri na kuafiki kusitisha vita.
-
Hamas yapinga misimamo ya Saudia ya kujikurubisha zaidi kwa wazayuni maghasibu
Jul 15, 2022 22:25Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga vikali hatua ya Saudi Arabia ya kufungua anga ya nchi hiyo kwa ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS: Israel inapaswa kukabiliwa kwa jibu kali kwa kuishambulia Syria
Jul 03, 2022 03:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, utawala huo haramu unapaswa kukabiliwa kwa jibu kali kwa kuushambulia mji bandari wa Syria.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni hauna mamlaka yoyote huko Quds
Jun 27, 2022 22:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.
-
Haniya: Mapambano yataendelea mpaka Palestina iliyoanzia kwenye Mto hadi Baharini itakapokombolewa
Jun 25, 2022 21:52Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, mapambano na muqawama ungali unaongeza nguvu zake hadi ufike wakati wa kukombolewa Palestina iliyoanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Mediterania.
-
HAMAS: Israel iache kuchimba mashimo kwenye ua wa Msikiti wa Al-Aqsa
Jun 24, 2022 08:57Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaka utawala haramu wa Israel uache mara moja kitendo chake cha kuendelea kuchimba mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtatatifu wa al-Aqsa.
-
HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu
May 04, 2022 07:22Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Wapalestina na kwamba Wazayuni hawapaswi kuuvuuka.
-
HAMAS yatoa mwito kwa Wapalestina kusimama imara kukabiliana na Wazayuni
Apr 14, 2022 05:54Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema baada ya Wazayuni kuwaua shahidi vijana wanne wa Kipalestina kwamba wananchi wote wa Palestina wanapaswa kusimama imara kupambana kiume na Wazayuni.
-
HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuwababaisha Wapalestina
Apr 13, 2022 03:07Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amejibu matamshi ya kifedhuli ya Waziri wa Vita wa Israel, Benny Gantz na kusisitiza kuwa: Vitisho kamwe haviwezi kuwababaisha na kuwashtua Wapalestina
-
Onyo la HAMAS kwa Israel baada ya kuwaua shahidi Wapalestina 3 Jenin
Apr 03, 2022 03:47Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelionya vikali jeshi katili la utawala haramu wa Israel kwa kuwaua shahidi vijana watatu wa Kipalestina katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani huko Jenin.