-
HAMAS yaionya Israel kuhusiana na hujuma zake dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Dec 18, 2021 23:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeuonya utawala haramu wa Israel kuhusiana na kushadidisha hujuma na mashambulio yake dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Mapambano ya silaha na Israel na umoja wa Wapalestina; mihimili mikuu miwili ya harakati ya HAMAS
Dec 16, 2021 08:12Jumanne ya juzi tarehe 14 Disemba ilinasadifiana na mwaka wa 34 tangu kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kislamu ya Palestina HAMAS.
-
Sasa Hamas ina uwezo wa kupiga popote katika ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel
Dec 16, 2021 04:00Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
-
HAMAS yapongeza hatua ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za Israel
Dec 06, 2021 03:40Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kukaribisha kwa mikono miwili hatua ya serikali ya Kuwait ya kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.
-
HAMAS: Mabunge ya Kiarabu na Kiislamu yazuie kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel
Dec 01, 2021 23:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeyataka mabunge ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu yasimame kidete na kuzizuia serikali zao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Onyo la HAMAS kwa rais wa utawala haramu wa Israel
Nov 28, 2021 08:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetahadharisha kuhusu matokeo mabaya ya mpango wa Rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Isaac Herzog wa kuutembelea Mstikiti wa Ibrahim kusini magharibi mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Haniya: Iran ni nguzo muhimu ya kambi ya muqawama
Nov 21, 2021 08:01Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuitaja kama nguzo kuu na muhimu ya mrengo wa muqawama wa Wapalestina.
-
Huduma mpya ya London kwa Tel Aviv kwa kuituhumu Hamas kuwa ni kundi la kigaidi
Nov 21, 2021 06:38Katika kuendeleza siasa zake dhidi ya taifa la Palestina na kuunga mkono utawala haramu wa Israel, Uingereza imetuhumu na kuitangaza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Paletina Hamas kuwa ni kundi la kigaidi.
-
Hamas: Upanuzi wa vitongoji vya walowezi huko al Aghwar ni tishio kwa Wapalestina
Oct 21, 2021 03:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina la Bonde la Jordan (Aghwar al Urdun) katika Ukingo wa Magharibi ni tishio kwa uwepo wa Wapalestina katika eneo hilo.
-
Israel yaingiwa na kiwewe cha kulipiziwa kisasi na muqawama wa Palestina
Oct 20, 2021 03:51Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefunga kambi na njia za kuelekea maeneo ya karibu na Ukanda wa Ghaza huko Palestina kwa kuhofia ulipizaji kisasi wa muqawama wa Palestina kutokana na jinai za kila siku za Wazayuni.