-
Haniyeh akosoa njama zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu za kupatana na Israel
Aug 28, 2020 22:07Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amezikosoa baadhi ya nchi za Kiarabu kutokana na jitihada zao za kutaka kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
HAMAS: Msikiti wa al-Aqswa uteandelea kubakia kuwa mstari mwekundu wa Waislamu
Aug 20, 2020 07:06Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, Msikiti wa al-Aqswa utaendelea kubakia kuwa mstari mwekundu wa Waislamu na kwamba, kila mkono wenye lengo la kuuvunjia heshima msikiti huo utakatwa.
-
Hamas yapinga vikali kutiwa mbaroni Sheikh Raed Salah
Aug 16, 2020 21:59Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kumtia tena mbaroni kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina ina lengo la kuwafutilia mbali walinzi wa Msikiti wa Al Aqsa.
-
Hamas yauonya utawala wa Kizayuni kuhusu chokochoko Ghaza
Aug 10, 2020 03:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu chokochoko zake katika Ukanda wa Ghaza.
-
Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Israel katika ngome za muqawama huko Ghaza; ni ujumbe wa mivutano
Aug 03, 2020 06:33Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
-
Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel
Jul 27, 2020 08:34Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, (HAMAS) imepinga hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha bajeti ya msaada wa kifedha kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kuwa: Hatua hiyo inaimarisha mienendo ya kibabe na ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
HAMAS na Fat'h kujadili namna ya kukabiliana na mpango wa kuumega Ufukwe wa Magharibi
Jul 25, 2020 03:44Harakati za Palestina za HAMAS na Fat'h zimekubaliana kuitisha kikao cha pamoja katika Ukanda wa Gaza kwa lengo la kujadili njia za kukabiliana na mipango ya utawala wa Kizayuni ya kughusubu ardhi za Palestina.
-
Jibu la HAMAS kwa 'ubabe wa kisiasa' wa Marekani unaolenga kuiremba sura chafu ya Israel
Jul 23, 2020 05:57Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, matamshi ya mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi ya harakati hiyo ni "uzandiki, upotoshaji na ubabe wa kisiasa".
-
Hamas: Bomoabomoa ya nyumba za Wapalestina; utekelezaji kivitendo mpango wa kutwaa ardhi za Palestina
Jul 21, 2020 06:33Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unabomoa nyumba za wananchi wa Palestinana hivyo inatekeleza kivitendo mpango wake wa kuikalia kwa mabavu sehemu kubwa ya ardhi ya Ukingo wa Mgharibi wa Mto Jordan.
-
Hamas, Hizbullah: Mpango wa Israel wa kughusubu ardhi ni hujuma dhidi ya Wapalestina
Jul 07, 2020 03:32Harakati za muqawama wa Kiislamu za Hamas ya Palestina na Hizbullah ya Lebanon zimepinga vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kutwaa na kughusubu ardhi ya Palestina ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kusisitiza kuwa, uporaji huo ni hujuma ya moja kwa moja dhidi ya Wapalestina.