Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas yapongeza ujumbe wa Ayatullah Khamenei, yaahidi kudumisha mapambano

    Hamas yapongeza ujumbe wa Ayatullah Khamenei, yaahidi kudumisha mapambano

    Jul 06, 2020 22:01

    Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza majibu ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kwa barua ya Mkuu wa Idara ya Siasa ya harakati hiyo na kusema: Taifa la Palestina litadumisha mapambano hadi litakaposhinda na kuvunjilia mbali mipango ya kughusubu eneo la Ukingo wa Magharibi.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu Iran kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu Iran kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina

    Jul 06, 2020 21:58

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua kutoka kwa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu matukio ya hivi karibuni ya Palestina.

  • Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Hania aainisha malengo matatu ya Israel ya kupora ardhi za Palestina

    Jun 30, 2020 08:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema utawala wa Kizayuni wa wa Israel unafuatilia malengo matatu makuu katika mpango wake wa kutaka kutwaa ardhi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jun 27, 2020 07:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza yatazidi kuufanya muqawama ushikilie msimamo wake wa kupinga njama za Israel za kuteka ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni jinai dhidi ya Wapalestina

    Hamas: Kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni ni jinai dhidi ya Wapalestina

    Jun 26, 2020 20:01

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, hatua yoyote ya kuwa na uhusiano na utawala wa Kizayuni ni jinai dhidi ya haki za wananchi wa Palestina.

  • Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina

    Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina

    Jun 17, 2020 22:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa vituo vya Wapalestina huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ni jitihada za utawala huo zinazolenga kubadili utambulisho wa Quds; njama ambazo hazitafikia popote.

  • Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel

    Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel

    Jun 14, 2020 22:41

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mwito kwa wanazuoni wa Kiislamu kuunda kamati ya uratibu itakayopewa jukumu la kuunda na kutekeleza mpango wa kistratajia wa kuunga mkono kadhia ya Palestina na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Rais Donald Trump wa Marekani zilizopewa jina la "Muamala wa Karne."

  • Hamas yakosoa UAE kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Hamas yakosoa UAE kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Jun 13, 2020 03:05

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemkosoa Yousef Al Otaiba Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Washington, Marekani ambaye anafanya juu chini kutafuta nukta za pamoja baina ya nchi yake na utawala ghasibu wa Israel huku akiomba kuwepo uhusiano wa kawaida baina ya nchi yake na utawala huo.

  • Stratijia ya Hamas kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Stratijia ya Hamas kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Jun 10, 2020 04:21

    Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza stratijia yenye nguzo nne kwa ajili ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel

  • Barua ya Ismail Hania kwa viongozi 40 wa nchi za Kiarabu kwa ajili ya kusambaratisha mpango wa Israel

    Barua ya Ismail Hania kwa viongozi 40 wa nchi za Kiarabu kwa ajili ya kusambaratisha mpango wa Israel

    Jun 10, 2020 03:26

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amewatumia barua tofauti wakuu na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu zaidi ya 40 akiwataka kuchukua hatua za harakati kusitisha mpango wa Israel wa kutaka kuyaunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS