-
Hamas yaafiki kuvunja serikali yake Ghaza kwa ajili ya Umoja wa Palestina
Sep 17, 2017 23:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imekubali sharti kubwa lililowekwa na chama cha Fat'h cha Mahmoud Abbas ikiwa ni pamoja na kufanyika chaguzi za kitaifa Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Ghaza.
-
Hamas: Tutafungamana na chaguo la muqawama ili kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina
Sep 14, 2017 03:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa itaendelea kufungamana na chaguo la muqawama kama njia pekee ya kufanikisha malengo ya wananchi wa Palestina katika ardhi yenye uhuru na kujitawala.
-
HAMAS yatoa sharti la kuipatia Israel taarifa za askari wake iliowakamata mateka
Sep 13, 2017 10:29Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema itaupatia utawala wa Kizayuni wa Israel taarifa kuhusu askari wake waliokamatwa mateka katika Ukanda wa Gaza kwa sharti utawala huo haramu uwaachie huru kwanza Wapalestina 54 unaowashikilia kwenye jela zake.
-
Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria
Sep 07, 2017 23:57Harakati ya Mapambnao ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani shambulio la Alkhamisi asubuhi la ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria.
-
Hamas yautaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuhitimisha mzingiro wa Gaza
Aug 30, 2017 03:25Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuhitimisha mzingiro wa kidhulma dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS yawasilisha kwa Misri mpango wa kupunguza makali ya mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza
Aug 23, 2017 03:15Mjumbe mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema harakati hiyo imewasilisha kwa serikali ya Misri mpango wa mapendekezo kadhaa ya kupunguza makali ya mzingiro uliowekwa dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina
Aug 11, 2017 21:53Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.
-
Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina
Aug 07, 2017 02:38Mjumbe mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kushirikiana na watu wote wanaofanya juhudi za kutaka kukombolewa Palestina kutoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.
-
Hamas: Wakati umefika kwa nchi za Kiislamu kuchukua hatua kivitendo dhidi ya Israel
Jul 26, 2017 22:52Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ametaka kushinikizwa kivitendo utawala wa Kizayuni ili kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa.
-
HAMAS yataka kuitishwa kikao cha Waarabu na Waislamu kwa ajili ya al-Aqswa
Jul 21, 2017 22:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina imetoa wito wa kuitishwa kikao cha dharura cha viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na msikiti wa al-Aqswa.